Serikali Iangalie Maslahi ya Watumishi Sekta ya Afya

Serikali Iangalie Maslahi ya Watumishi Sekta ya Afya

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MBUNGE FESTO SANGA - SERIKALI IANGALIE MASLAHI WATUMISHI SEKTA YA AFYA

Mbunge wa Jimbo la Makete, Festo Sanga aomba Wizara ya Afya kuangalia maslahi ya watumishi sekta ya Afya, wanafanya kazi ngumu na katika mazingira ambayo wengi wetu hatuwezi. Wanapigania Uhai wetu, maslahi yao yaangaliwe vizuri.

Festo ameyazungumza hayo Bungeni Dodoma wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Afya.

Fv8Cw2qXwAAtAk-.jpg
 
Back
Top Bottom