Serikali iangalie omba omba wanaotumia watoto kuzunguka nao badala kuacha waende shule

Serikali iangalie omba omba wanaotumia watoto kuzunguka nao badala kuacha waende shule

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kuna hii mbinu mpya ya kisasa ambayo omba omba wanatembea na hao watoto kwa ajili kuomba mtaani sioni future nzuri.
 
Nafikiri ipo haja pia kwa jamii kurudisha ule utaratibu wa zamani wa kusaidiana watoto;
Kama dada yako au kaka yako anachangamoto ya kiafya au hata ya kiuchumi; msaidie mtoto hata mmoja kumlea.....Kwa wanao amini vitabu vya Mungu unakuwa umefanya jambo jema sana, sana sana.
Unakuta mtu kila kukicha anamwaga vyakula, wakati watoto wa dada yake wana lala njaa; Mchukue mtoto hata asome shule ya kayumba ni poa tu kwani atapata uangalizi na atakula vizuri
 
Mtaa hauzai watoto. Watoto wa mitaani ni zao la jamii zetu .
 
Mbinu ya kitambo sana hii.
Watoto wanakosa haki zao za msingi,wanatumika vibaya na walezi wao kujipatia kipato kisicho cha halali.
 
Back
Top Bottom