Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Malezi ya mtoto mchanga yanahitaji uangalizi mkubwa sana wa mama yake! Nashangaa serikali mnasisitiza mtoto asipewe maji wala uji ndani ya miez 6! yaani awe anashindia maziwa ya mama tu!
Nyinyi hao hao serikali mnawapa wafanyakaz wenu miez 3 tu ya materninty hamuoni tatizo kwa watoto kuwa badae wanakuwa na mapungufu mengi kwa kukosa malezi?
Miezi 3 maana yake mtoto aanze kupewa uji ili kukidhi mahitaji maana mama yake anakuwa kazini! mnalazmisha watoto kukomaza utumbo mapema.
Ni wakati sasa sera zibadilike kunyonyesha ni miez sita na leave iwe miez 6, tulinde vizazi vyetu ili baadae wawe watoto bora wala sio bora watoto!
Nyinyi hao hao serikali mnawapa wafanyakaz wenu miez 3 tu ya materninty hamuoni tatizo kwa watoto kuwa badae wanakuwa na mapungufu mengi kwa kukosa malezi?
Miezi 3 maana yake mtoto aanze kupewa uji ili kukidhi mahitaji maana mama yake anakuwa kazini! mnalazmisha watoto kukomaza utumbo mapema.
Ni wakati sasa sera zibadilike kunyonyesha ni miez sita na leave iwe miez 6, tulinde vizazi vyetu ili baadae wawe watoto bora wala sio bora watoto!