Serikali iangalie vizuri bajeti za matamasha na makongamano

Gharama za matamasha zinaendana na mahitaji halisi ya tamasha?


  • Total voters
    1

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Wakati Tanzania tunakabiliwa na changamoto nyingi mno za kijamii, imezoweleka Sasa kuona Serikali ikifanya mikutano, warsha, na sherehe mbalimbali ambazo gharama zake ni zaidi ya umuhimu wake.

Gharama hizo zinahusisha na uhanasishaji, muda wa kutoa huduma kwa wananchi kwa vile maofisi yanakuwa rikizo kwa muda huo.

Fikiria uzinduzi huu wa Sensa tuuu unajumuisha viongozi wengi na wafanyakazi karibia wote wa Serikali waliopo Dodoma, fikiria wasanii walioburudisha na gharama zao, fikiria mafuta na mapambo ya ukumbi, angalia posho zilizolipwa kwa washiri kutoka nje wa Dodoma

Ni visima vingapi vya maji Safi vingeweza kuchimbwa? Ni madawati mangapi yangetengenezwa, ni madawa kiasi gani yangenunuliwa nk

Tutafakari shughuli zetu na kuwafikiria wananchi na matatizo tuliyonayo.

Ahsante
 
Ndugu waandishi wa habari (kikohozi kidogo na maji).........nimewaita hapa niwaambie......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…