Serikali iangalie walimu wanaosimamia somo la Utafiti (Research) OPEN University, kuna mmoja ipo siku kitamkuta kitu

Serikali iangalie walimu wanaosimamia somo la Utafiti (Research) OPEN University, kuna mmoja ipo siku kitamkuta kitu

DodomaTZ

Member
Joined
May 20, 2022
Posts
84
Reaction score
118
Wanaosoma au waliohitimu Open University of Tanzania (OUT) pale makao makuu Kinondoni hasa Mass Communication na wale wa Journalism, wawe makini, kuna mwalimu ambaye jina lake la kwanza na la pili yanaanza na Yusuph M, nasisitiza wawe makini na huyo jamaa.

Umri wake bado mdogo lakini ana michezo flani ambayo siyo mizuri, mwambieni ipo siku yake kitamkuta kitu, Serikali ipo na inamtazama anachokifanya dhidi ya wanafunzi hasa anaowasimamia katika somo la Research

Mimi nimemaliza OUT na nilihitimu mwaka jana, alichonifanyia Mungu anamuona na hata Walimu wenzake wanajua michezo yake. Wale waliosoma au wanaosoma OPEN naamini watakuwa wameelewa ninachomaanisha.

Wito wangu Serikali iangalie kwa jicho la tatu kinachoendelea pale OUT hasa kwa walimu wanaosimamia masomo ya utafiti, siyo wote ila naamini kama huyo Y….M hawezi kufanya anayoyafanya peke yake, lazima atakuwa na washirika
 
Wanaosoma au waliohitimu Open University of Tanzania (OUT) pale makao makuu Kinondoni hasa Mass Communication na wale wa Journalism, wawe makini, kuna mwalimu ambaye jina lake la kwanza na la pili yanaanza na Y.....M, nasisitiza wawe makini na huyo jamaa.

Umri wake bado mdogo lakini ana michezo flani ambayo siyo mizuri, mwambieni ipo siku yake kitamkuta kitu, Serikali ipo na inamtazama anachokifanya dhidi ya wanafunzi hasa anaowasimamia katika somo la Research

Mimi nimemaliza OUT na nilihitimu mwaka jana, alichonifanyia Mungu anamuona na hata Walimu wenzake wanajua michezo yake. Wale waliosoma au wanaosoma OPEN naamini watakuwa wameelewa ninachomaanisha.

Wito wangu Serikali iangalie kwa jicho la tatu kinachoendelea pale OUT hasa kwa walimu wanaosimamia masomo ya utafiti, siyo wote ila naamini kama huyo Y….M hawezi kufanya anayoyafanya peke yake, lazima atakuwa na washirika
Sasa unaficha ficha ujumbe utafikaje, si ungemyamaza kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa muwazi acha uwoga..weka mambo hadharani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom