Serikali ianze kutoza Kodi mapato ya makanisa maana imekuwa biashara sasa.

Serikali ianze kutoza Kodi mapato ya makanisa maana imekuwa biashara sasa.

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Ukweli kwa sasa, dini hasa makanisa imekuwa kama chambo Cha kupiga fedha za watu, kibaya zaidi sasa hasa wanaojiita manabii wengine wanatoka hata nje kuja kupiga pesa kwa kulaghai raia na kujitwalia utajiri mkubwa na pesa nyingi ambazo hazilipiwi Kodi. Ni vyema tubadilike tuanze kufanya makadirio ya mapato ya makanisa. Bunge litunge muswada wa SHERIA kuhusu hili swala.
 
Back
Top Bottom