Serikali ianze kuzalisha chuma ili kupunguza gharama za ujenzi

Serikali ianze kuzalisha chuma ili kupunguza gharama za ujenzi

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Vifaa vya ujenzi vimepanda bei, nondo zimepanda bei. Maghorofa ni nondo, madaraja ni chuma, reli na mabwawa kama JNHP ni nondo.

Leo China uzalishaji wa chuma umepungua sababu ya pandemic na bifu lao na Australia. Kwanini serikali isianze kufua nondo.
 
Tunazalisha mbona labda kama hazitoshi...
Sisi hatuzalishi chuma , tunafanya recycling tu kwa kutumia scrap metals Nadhani anaongelea uzalishaji wa chuma ghafi , chuma ghafi kwa Tanzania kipo mchuchuma ni swala la kujipanga tu .
 
Vifaa vya ujenzi vimepanda bei, nondo zimepanda bei. Maghorofa ni nondo, madaraja ni chuma, reli na mabwawa kama JNHP ni nondo.

Leo China uzalishaji wa chuma umepungua sababu ya pandemic na bifu lao na Australia. Kwanini serikali isianze kufua nondo.
Gesi imewashinda mliuza leo mmehamia kwenye chuma. Aisee

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania ata ichimbwe hewa kwa ajili ya matumizi ya dunia nzima. Kwa mwendo huu wa CCM taifa haliwezi nufaika na chochote
 
Back
Top Bottom