Serikali ianzie hapa, kupunguza matumizi yasiyo ya msingi ili kubana matumizi. Ili kutompa mtanzania mzigo mkubwa

Serikali ianzie hapa, kupunguza matumizi yasiyo ya msingi ili kubana matumizi. Ili kutompa mtanzania mzigo mkubwa

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Serikali tunawashauri mapema.
Msije kusema hamkushauriwa kwenye upande wa matumizi ya fedha za wananchi bila mpango mzuri.
Kwanza futa post za wakuu wa wilaya na majukumu ya uenyekiti wa ulinzi na usalama atachukua DSO,
Futa post za wakuu wa mikoa na majukumu ya uenyekiti wa ulinzi na usalama atachukua RSO huku yale majukumu ya kiutendaji wilayani atayachukua DED,.

Futeni marupurupu ya wake na wenza wa viongozi muishi kawaida haiwezekani mabilioni yapoteee eti ni marupurupu ya wenza wa viongozi siku wananchi wakiwadai pesa yao mtajibu nini?

Manunuzi ya magari ya kifahari wananchi huku wanasema mnawaona wao ni wajinga kila mwaka mnaahidi hamtekelezi angalieni hilo na muhakikishe mnatimiza wajibu wenu.

Magari ya Serikali yaanze kutumia gesi badala ya mafuta hapa mtaokoa mabilioni mengi na kupeleka pesa hizo kwenye maendeleo.

Kila mkoa uwe na mbunge mmoja wa mkoa mzima, na kila wilaya iwe na mbunge mmoja wa wilaya husika ambaye atabeba hoja za wilaya yake, futeni viti maalumu, ibakie Kwa walemavu tu hivo viti maalumu vingine mnafuja pesa za wananchi bure na havina tija Kwa dunia ya sasa.
 
Serikali tunawashauri mapema.
Msije kusema hamkushauriwa kwenye upande wa matumizi ya fedha za wananchi bila mpango mzuri.
Kwanza futa post za wakuu wa wilaya na majukumu ya uenyekiti wa ulinzi na usalama atachukua DSO ,
Futa post za wakuu wa mikoa na majukumu ya uenyekiti wa ulinzi na usalama atachukua RSO huku yale majukumu ya kiutendaji wilayani atayachukua DED,
Futeni marupurupu ya wake na wenza wa viongozi muishi kawaida haiwezekani mabilioni yapoteee eti ni marupurupu ya wenza wa viongozi siku wananchi wakiwadai pesa yao mtajibu nini?
Manunuzi ya magari ya kifahari wananchi huku wanasema mnawaona wao ni wajinga kila mwaka mnaahidi hamtekelezi angalieni hilo na muhakikishe mnatimiza wajibu wenu,
Magari ya serikali yaanze kutumia gesi badala ya mafuta hapa mtaokoa mabilioni mengi na kupeleka pesa hizo kwenye maendeleo,
Kila mkoa uwe na mbunge mmoja wa mkoa mzima, na kila wilaya iwe na mbunge mmoja wa wilaya husika ambaye atabeba hoja za wilaya yake, futeni viti maalumu, ibakie Kwa walemavu tu hivo viti maalumu vingine mnafuja pesa za wananchi bure na havina tija Kwa dunia ya sasa,
Unajua majukumu ya hao watu kwanza?
 
Pia wabunge wawe wanastaafu wakifika miaka 60, vijana wapo wengi damu changa za kutoa mawazo yao bungeni sio wazee wakina Wasira akili zimeshachoka.
 
Unajua majukumu ya hao watu kwanza?
Majukumu ya DED, RAS, DSO, RSO, OCD, OCCID, RCO, mbona huwa yako wazi nchi za kijamaa ndio walikuwa wajinga kwenye intelligence wakajifanya kujifichaficha huku mbinu zikiwaacha ikafikia point wakapigwa counter intelligence wakawekwa uchi kama maiti, so kwenye roles za hao watajwa hapo juu kama unaakili timamu utafahamu majukumu yao.
 
Pia wabunge wawe wanastaafu wakifika miaka 60 , vijana wapo wengi damu changa za kutoa mawazo yao bungeni sio wazee wakina Wasira akili zimeshachoka.
Kabisa iwe ni takwa la lazima kabisa sio watu wanakua vikongwe bado wako bungeni tu, kwanza sheria iwe only two terms ukimaliza hapo hakuna kugombea tena
 
Screenshot_20240705-144524_Instagram.jpg
 
KWANI WANAYO HATA HIYO NIA YA KUBANA MATUMIZI? ILI IWEJE SASA! INAWAATHIRI NINI?
 
Huwajui wanasiasa mkuu wewe yaani hao hata kama kuna jimbo lina watu 20 wanataka ligawanywe ili wagombee wabunge wawili hujasikia hko mbeya wanataka kuligawa.
 
Back
Top Bottom