Serikali ianzishe kodi ya kichwa haraka, Watanzania wanapenda ujanjaujanja

Serikali ianzishe kodi ya kichwa haraka, Watanzania wanapenda ujanjaujanja

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.

Kuna shida mahali, tunalazimisha tozo ifanane na Kodi. Kodi na tozo ni vitu viwili tofauti.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.

Hilo ni tatizo la kimfumo kwenye usimamizi wa mapato na kuweka kadi ya kichwa haiwezi kuwa suluhu

Serikali inachotakiwa kufanya ni kuhakikisha inaboresha mifumo yake ili kila anayezalisha alipe kodi sahihi sawasawa na sheria na taratibu za mapato

Kama mwwnye duka au bodaboda analipa bima ya boda yake na leseni ya udereva hakuna kinachoshikana kutoa muongozo sahihi wa kodi yake na kumsimamia ailipe. Hata kama ni shilingi mia moja kwa siku isimamiwe ilipwe
 
Kuna wakulima wanaomiliki mashamba makubwa wanawapangisha wakulima wadogowadogo kwa sh. 150000 hadi 200000 kwa hekari ya shamba la mpunga na wengine hutoza magunia manne ya mpunga kwa hekari . Serikali iwaamulike hawa makabaila watozwe tozo kwa maendeleo ya nchi.
 
HIlo nalo ni neno.
Dar mtu ana vijumba vyake 3 kila mwezi akikusanya kodi hakosi 800000 na halipi kodi hata Senti moja .
Watanzania tuache ujinga

Kuna wakulima wanaomiliki mashamba makubwa wanawapangisha wakulima wadogowadogo kwa sh. 150000 hadi 200000 kwa hekari ya shamba la mpunga na wengine hutoza magunia manne ya mpunga kwa hekari . Serikali iwaamulike hawa makabaila watozwe tozo kwa maendeleo ya nchi.
 
Poa tu wekeni hizo kodi tu za kichwa hadi miguu
Ila sahv kwenye huduma tutaanza kuwabana na kuwahoji
Mpaka mtuone nuksi

Ova
 
Serikali iwatake voda, tigo, airtel na halotel watoe bilion kila mwaka. Watapandisha vifurush na akili itukae.

Tozo ya umeme aka nyumba iwe kwa asilimia
Wamilik wa mabas watiwe kodi mara mbili ili wapandsh naul.

Wamilik wa gest watiewe kod ili fasta na malaya bei ipande.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.
Huna akili, hao wote uliowataja lazima wanunue bidhaa na huduma na kulipa VAT, na bado watanunua LUKU na kinga'amuzi na kukutana na VAT na tozo juu, bado hawajafanya miamala ya simu na benki huko kote wanalimwa VAT na tozo juu. Kama mnataka kodi ya kichwa irudi ondoeni VAT kwenye bidhaa na huduma......​
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo iendelee tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu, badala ya kuchangia harusi na masharehee mengine sasa tunaweza kuchangia 1200 maendeleo ya barabara zetu, hospitali, maji n.k

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.
Nakubaliana tuanzishe kodi ya kichwa na tuwekane sawa wote! Kila mmoja ajielewe kuwa kodi inamuathiri kivipi. Kwa sasa kwa ufinyu wa kufikiri kuna watu wanafikiri kuwa hakuna athari kwa maisha.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.
Watu walipe kodi ili tupate pesa za kuwatunza viongozi kama MaDC, MaDED na MaRCs waache kulalamika.
 
Nakubaliana tuanzishe kodi ya kichwa na tuwekane sawa wote! Kila mmoja ajielewe kuwa kodi inamuathiri kivipi. Kwa sasa kwa ufinyu wa kufikiri kuna watu wanafikiri kuwa hakuna athari kwa maisha.
Kuna wajinga wengi sana watanzania ukiwambia pesa za umma zinaliwa walikuwa hawaelewi kwa sababu walikuwa hawalipi kodi. Ndoo wale chawa wengi
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba na serikali kwa ujumla msiwaonee huruma Watanzania.
Wengi wamezoea kuishi kwa madili na wizi.

Serikali inapoteza kiasi kikubwa cha fedha kwakuwa watu wanaikwepa. Kuna rafiki yangu ana biashara kwa siku faida ni 200,000 lakini kwa mwaka alikuwa analipa sh. 20000 ya kitambulisho cha machinga tu na sasa halipi hata Senti.

Kuna muda nilikuwa na duka karibu na TAZARA, nilishangaa kuona wafanyabiashara wenzangu kufunga maduka yao pindi waliposikia TRA wanakuja mitaa yetu.

Bodaboda hawalipi kodi huku mauzo yao kwa siku yanafika sh 30000, hata leseni wengi hawana ambazo zingesaidia kulipia kodi kila baada ya miaka 5 angalau. Mwisho wa siku wanaishia kuwapa pesa polisi na migambo. Tena ni pesa nyingi zaidi.
Mm ningekuwa rais ningeweka kodi ya kichwa kwa wana ccm wote kila mwezi laki 2
 
Madereva hawalipi koda, serekali iwamulike hawa!!
Kila mtu alipe kodi ili tunaposema tunataka katina mpya ili kudhibidi rasimali za nchi watu wa elewe. Mtu asiyelipa kodi hana uchungu na nchi yake.
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo iendelee tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu, badala ya kuchangia harusi na masharehee mengine sasa tunaweza kuchangia 1200 maendeleo ya barabara zetu, hospitali, maji n.k

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.

wanao pinga tozo ni wahuni wachache wenye matatizo ya afya ya akili.
 
Tena ni wahuni kwelikweli.
Tutaendelea kulipa tozo kama kawaida.
Majizi yasitotaka kulipa tozo yatajuta
 
Back
Top Bottom