Serikali ibadili tozo za miamala kuwa walau Tshs. 500 kwa muamala

Bi mdashi anaupiga mwingi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Halafu inawezekana kweli kama gharama za miamala zikiwa chini sana watu watatumia sana hizi huduma za mobile money na hivyo lengo la hayo matrion kutimia bila kuwakamua wadanganyika
 
Kuweka tozo 7,250/- kwenye mwamala wa elf 50 ni uzwazwa uliopita kiwango chenyewe cha uzwazwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ