DOKEZO Serikali ichukue hatua za haraka kunusuru wajasiriamali wa mbogamboga na matunda Msufini Singida

DOKEZO Serikali ichukue hatua za haraka kunusuru wajasiriamali wa mbogamboga na matunda Msufini Singida

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Habari!

Tunaomba serikali ya Wilaya, mkoa na hata Wizara inayohusika kuingilia kati sintofahamu iliyopo soko la matunda na mbogamboga Msufini - Singida, kati ya wajasiriamali na wenye eneo (chama)

Kumekuwa na sintofahamu kadhaa katika soko hili ikiwemo kukosekana kwa uwazi, hasa juu ya mabadiliko ya kimatumizi ya eneo hili ambapo kuna ujenzi wa vyumba vya biashara (fremu) unaendelea, lakini haifahamiki soko la mbogamboga na matunda litahamia wapi, lini na kwa utaratibu upi.

Tayari mchakato wa ujenzi huu umeshawaondoa wajasiriamali wasiopungua 30 eneo la mbogamboga kupisha ujenzi, pasi na kuwaelekeza eneo mbadala na hawajui cha kufanya kunusuru uchumi wa familia zao uliotegemea kazi zao.

Hali hii imeleta hofu kwa wafanyabishara na wajasiriamali kwa ujumla ambapo sio chama wala serikali, hakuna anayetolea ufafanuzi na kauli thabiti juu ya mstakabali wa wajasiriamali waliopo eneo hili

Tunaiomba serikali, kwa maslahi mapana ya wananchi wake ichukue hatua stahiki za ama kurasmisha eneo hili liwe soko la kudumu, au kutenga eneo jingine mbadala na rafiki kisha kuweka utaratibu mzuri wa kuwahamishia wajasiriamali. Tunashauri mbinu shirikishi itumike ili kurahisisha kazi na kuepuka urasimu.
 
Poleni sana, mtapatiwa suluhu hivi tunavyoelekea kwenye chaguzi
 
Mtaa mzima wa mji mkongwe umeishageuka soko kwenye nyumba za watu. Bora wapelekwe uwanja wa unyankindi au soko la vitunguu misuna na hilo soko la vitunguu walipeleke nje ya mji, unyamikumbi au kisaki
 
Habari!

Tunaomba serikali ya Wilaya, mkoa na hata Wizara inayohusika kuingilia kati sintofahamu iliyopo soko la matunda na mbogamboga Msufini - Singida, kati ya wajasiriamali na wenye eneo (chama)

Kumekuwa na sintofahamu kadhaa katika soko hili ikiwemo kukosekana kwa uwazi, hasa juu ya mabadiliko ya kimatumizi ya eneo hili ambapo kuna ujenzi wa vyumba vya biashara (fremu) unaendelea, lakini haifahamiki soko la mbogamboga na matunda litahamia wapi, lini na kwa utaratibu upi.

Tayari mchakato wa ujenzi huu umeshawaondoa wajasiriamali wasiopungua 30 eneo la mbogamboga kupisha ujenzi, pasi na kuwaelekeza eneo mbadala na hawajui cha kufanya kunusuru uchumi wa familia zao uliotegemea kazi zao.

Hali hii imeleta hofu kwa wafanyabishara na wajasiriamali kwa ujumla ambapo sio chama wala serikali, hakuna anayetolea ufafanuzi na kauli thabiti juu ya mstakabali wa wajasiriamali waliopo eneo hili

Tunaiomba serikali, kwa maslahi mapana ya wananchi wake ichukue hatua stahiki za ama kurasmisha eneo hili liwe soko la kudumu, au kutenga eneo jingine mbadala na rafiki kisha kuweka utaratibu mzuri wa kuwahamishia wajasiriamali. Tunashauri mbinu shirikishi itumike ili kurahisisha kazi na kuepuka urasimu.
Yaani majitu mazima,yenye akili zaidi ya serikali kuhusu biashara ya mbogamboga,eti leo yanakaa na kupanua mikono kuomba serikali eti "iwasaidie" kama matoto madogo na serikali ni kama limzazi

Yaani kama kuna kazi ya serikali,IFANYE

Kama kuna kazi za watu binafsi wao kama wafanyabiashara WAFANYE...hakuna "kuomba" au "msaada" mahali popote

Serikali inatafutwa kuja kufanya nini?

Kurasimisha eneo?Kivipi?Eneo la kufanya biashara ni kazi ya mfanyabiashara,hakuna maeneo ya bure

Urasimu unatoka wapi na serikali ije kufanya nini hasa kusaidia nini hasa?Punguani nyie

Ili biashara ifanikiwe kuwe na BIDHAA,MUUZAJI na MNUNUZI basi,serikali haitakiwi

Wafanyabiashara tunaaminika kwa kutoa solutions bora na sio Serikali

Fvck you stvpid motherfvckers.......crying like babies....use you fvcken brains.....plus,fvck the government

Kila sekta ikiwa inalia lia hivi kama matoto mpewe vitu vya bure serikali ya kibwege hii itawezea wapi?

Tangu lini eneo la kufanyia biashara ikawa ni kazi ya serikali au mwanasiasa?Ni kazi ya mfanyabiashara,you damn fools!
 
Mtaa mzima wa mji mkongwe umeishageuka soko kwenye nyumba za watu. Bora wapelekwe uwanja wa unyankindi au soko la vitunguu misuna na hilo soko la vitunguu walipeleke nje ya mji, unyamikumbi au kisaki
Hilo eneo nalina uongozi?

Yaani kwenye private property yangu,unakuja nje kwangu kufanya biashara halafu nikae nikuangalie?

Wao wanafanyabiashara wana hela,wanunue eneo wapangishane humo ndani wafanye biashara zao,no one will bother them

Wanataka serikali ije inyang'anye maeneo ya wapi kwa dhuluma wapewe wao bure wafanye biashara

That is stupidity na kuendesha serikali bila kufuata sheria seriously

Mahali pa kufanyia biashara ni kazi ya wafanyabiashara sio ya mtu mwingine
 
Yaani majitu mazima,yenye akili zaidi ya serikali kuhusu biashara ya mbogamboga,eti leo yanakaa na kupanua mikono kuomba serikali eti "iwasaidie" kama matoto madogo na serikali ni kama limzazi

Yaani kama kuna kazi ya serikali,IFANYE

Kama kuna kazi za watu binafsi wao kama wafanyabiashara WAFANYE...hakuna "kuomba" au "msaada" mahali popote

Serikali inatafutwa kuja kufanya nini?

Kurasimisha eneo?Kivipi?Eneo la kufanya biashara ni kazi ya mfanyabiashara,hakuna maeneo ya bure

Urasimu unatoka wapi na serikali ije kufanya nini hasa kusaidia nini hasa?Punguani nyie

Ili biashara ifanikiwe kuwe na BIDHAA,MUUZAJI na MNUNUZI basi,serikali haitakiwi

Wafanyabiashara tunaaminika kwa kutoa solutions bora na sio Serikali

Fvck you stvpid motherfvckers.......crying like babies....use you fvcken brains.....plus,fvck the government

Kila sekta ikiwa inalia lia hivi kama matoto mpewe vitu vya bure serikali ya kibwege hii itawezea wapi?

Tangu lini eneo la kufanyia biashara ikawa ni kazi ya serikali au mwanasiasa?Ni kazi ya mfanyabiashara,you damn fools!
Umeandika waraka umejaa utumbo
 
Inshallah walaaniwe makafiri wanaompinga Allah hakika siku ya kiyama watachomeka
 
Back
Top Bottom