Kuna aina nne za mfumuko wa bei.
1. Tax pushed inflation
2. Cost pushed inflation
3. Currency pushed inflation
4. Demand pull inflation.
Of all the four, Demand pull inflation is the worst ikifuatiwa na currency pushed inflation.
Pale kunapotokea ongezeko la kodi, bei za bidhaa huweza kwenda juu kidogo alafu baadaye zikatulia.
Pia panapotokea mabadiliko ya bei za bidhaa au malighafi kwenye soko la Dunia, bei za bidhaa nyingine huweza kuathirika. Hivi sasa nchi nyingi zimetoka kwenye lock down kwa hiyo bei ya mafuta kwenye soko la Dunia imepanda.
Pia, thamani ya sarafu inaposhuka, bei za bidhaa huweza kuathirika, hasa zile bidhaa zinazoagizwa kutoka nje, ama bidhaa zinazotengenezwa nchini kwa kutegemea sehemu kubwa ya malighafi kutoka ughaibuni.