chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Katika hali ya wakulima kulalamika juu ya bei ndogo ya kuuzia korosho, mkulima awekwe wazi kuwa kiasi kungine amelipia viatilifu, hili hesabu yake ikae sawa.
Mtindo wa kugawa viatilifu bure usirudiwe tena, kwa sababu haziendani na kiasi mkulima halisi anacholipia, pia ugawaji hauzingatii uzalishaji. Mkulima anazalisha tani tatu, amepewa lita tano za sulphur ya maji yenye thamani ya 70,000/=, iwapo mnunuzi ataondoa 100/= kila kilo, mkulima atapoteza 300,000/ bila kutoa ile 70k.
Wabunge walihoji juu ya kukatwa viatilifu kwa kila muuzaji wa korosho kwa kilo, walitaka achukuae alipie kiasi alichochukwa, serikali mkasitisha mpango huo ila mkauzungushia kwa nyuma, eti wanalipa wanunuzi, ili jambo baya sana.
Ndio pale Ndugai anasema mawaziri hawashauriki, katika ili waziri wa kilimo ushauriki!
Mtindo wa kugawa viatilifu bure usirudiwe tena, kwa sababu haziendani na kiasi mkulima halisi anacholipia, pia ugawaji hauzingatii uzalishaji. Mkulima anazalisha tani tatu, amepewa lita tano za sulphur ya maji yenye thamani ya 70,000/=, iwapo mnunuzi ataondoa 100/= kila kilo, mkulima atapoteza 300,000/ bila kutoa ile 70k.
Wabunge walihoji juu ya kukatwa viatilifu kwa kila muuzaji wa korosho kwa kilo, walitaka achukuae alipie kiasi alichochukwa, serikali mkasitisha mpango huo ila mkauzungushia kwa nyuma, eti wanalipa wanunuzi, ili jambo baya sana.
Ndio pale Ndugai anasema mawaziri hawashauriki, katika ili waziri wa kilimo ushauriki!