Serikali Ifafanue Kuhusu EQUIP-T

tatanyengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,133
Reaction score
280
Mnamo tarehe 10/5/2014 katika kuhitimisha juma la elimu kitaifa, Makamu wa Rais alizindua Programu Mahsusi ya kuinua ubora wa Elimu Tanzania (EQUIP-T). Nimejaribu kufuatilia kwenye media lakini sijaona maelezo kuhusu programu hiyo itakavyoendeshwa. Nilifikiri tungejikita zaidi katika BRN kuliko kuanzisha mipango mingine in between.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…