Serikali ifanye hivi kusaida NETO na vijana wengine wasio na ajira

Serikali ifanye hivi kusaida NETO na vijana wengine wasio na ajira

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hili suala la ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia nzima ila hatupaswi kubweteka kisa majirani nao wana tatizo kama letu. Kama mwananchi mzalendo nina ushauri kwa serikali ili kupunguza tatizo la ajira lililopo na kuzuia huu uanzishwaji wa vikundi vya vijana wasio na ajira.

Haileti picha nzuri vijana kuunda umoja wa wasio na ajira. Binafsi naona haijakaa poa kwa amani yetu tunayoilinda kwa wivu mkubwa.

Ninashauri serikali iwapige jeki vijana wote wa fani mbalimbali walioanza kufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ili nao waweze kuwaajiri wenzao. Sio kila mtu anaweza kuongoza biashara ikakua. Kwa hiyo wale wanaoweza wawezeshwe ili wasaidie wengine.

Kuna vijana wako kwenye kilimo, IT, Mechanics, trading, hospitality, nk. Wakipatikana vijana 100 kila mkoa wanaofanya vizuri kwenye biashara zao wakakopeshwa Tsh 100m kila mmoja bila riba itasaidia sana kukuza mitaji yao hali itakayolazimisha kuajiri vijana wenzao.
 
Hapo ni kubana matumizi na kuwalipa vijana posho ya kukosa ajira

Binafsi kila nikiona jina la NETO nakumbuka somo la historia mpigania uhuru wa Angola, Agustino Neto.
 
Hilo likifanyika hapa Tanzania mje mniuwe
Pesa watapewa machawa akina AY kijana ni msoto
 
Hili suala la ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia nzima ila hatupaswi kubweteka kisa majirani nao wana tatizo kama letu. Kama mwananchi mzalendo nina ushauri kwa serikali ili kupunguza tatizo la ajira lililopo na kuzuia huu uanzishwaji wa vikundi vya vijana wasio na ajira.

Haileti picha nzuri vijana kuunda umoja wa wasio na ajira. Binafsi naona haijakaa poa kwa amani yetu tunayoilinda kwa wivu mkubwa.

Ninashauri serikali iwapige jeki vijana wote wa fani mbalimbali walioanza kufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ili nao waweze kuwaajiri wenzao. Sio kila mtu anaweza kuongoza biashara ikakua. Kwa hiyo wale wanaoweza wawezeshwe ili wasaidie wengine.

Kuna vijana wako kwenye kilimo, IT, Mechanics, trading, hospitality, nk. Wakipatikana vijana 100 kila mkoa wanaofanya vizuri kwenye biashara zao wakakopeshwa Tsh 100m kila mmoja bila riba itasaidia sana kukuza mitaji yao hali itakayolazimisha kuajiri vijana wenzao.
Kila kijana asie kua ba ajira hasa waliomaliza vyuo wapewe kila mmoja m 20 ila baada kuandaa proposals , na pawepo vitengo vya kuwa kuwafuatilia kila wilaya walipo
 
Kila kijana asie kua ba ajira hasa waliomaliza vyuo wapewe kila mmoja m 20 ila baada kuandaa proposals , na pawepo vitengo vya kuwa kuwafuatilia kila wilaya walipo
Hilo haliwezekani. Pia kumpa tu mtu hela bila yeye mwenyewe kujiandaa kisaikolojia ni kumharibu zaidi. Kuna ambao wameshaonyesha jitihada wasaidiwe zaidi
 
Hili suala la ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia nzima ila hatupaswi kubweteka kisa majirani nao wana tatizo kama letu. Kama mwananchi mzalendo nina ushauri kwa serikali ili kupunguza tatizo la ajira lililopo na kuzuia huu uanzishwaji wa vikundi vya vijana wasio na ajira.

Haileti picha nzuri vijana kuunda umoja wa wasio na ajira. Binafsi naona haijakaa poa kwa amani yetu tunayoilinda kwa wivu mkubwa.

Ninashauri serikali iwapige jeki vijana wote wa fani mbalimbali walioanza kufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ili nao waweze kuwaajiri wenzao. Sio kila mtu anaweza kuongoza biashara ikakua. Kwa hiyo wale wanaoweza wawezeshwe ili wasaidie wengine.

Kuna vijana wako kwenye kilimo, IT, Mechanics, trading, hospitality, nk. Wakipatikana vijana 100 kila mkoa wanaofanya vizuri kwenye biashara zao wakakopeshwa Tsh 100m kila mmoja bila riba itasaidia sana kukuza mitaji yao hali itakayolazimisha kuajiri vijana wenzao.
Leo kwa mara ya kwanza nasoma nyuzi zako, umeandika nyuzi ya maana kabisa. Hivi ndivyo tunatakiwa kuwa siku zote. Serikali ikosolewe na ikifanya vizuri tuisifie.

Tukumbuke kuwa, serikali sio mtu mmoja hivyo ikitokea akatoka madarakani huyu tunayedhani ni bora zaidi, tunaweza kuangukia mikono ya wahalifu. Tunatakiwa kujenga taasisi na mifumo imara na sio watu imara pekee
 
Hili suala la ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia nzima ila hatupaswi kubweteka kisa majirani nao wana tatizo kama letu. Kama mwananchi mzalendo nina ushauri kwa serikali ili kupunguza tatizo la ajira lililopo na kuzuia huu uanzishwaji wa vikundi vya vijana wasio na ajira.

Haileti picha nzuri vijana kuunda umoja wa wasio na ajira. Binafsi naona haijakaa poa kwa amani yetu tunayoilinda kwa wivu mkubwa.

Ninashauri serikali iwapige jeki vijana wote wa fani mbalimbali walioanza kufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ili nao waweze kuwaajiri wenzao. Sio kila mtu anaweza kuongoza biashara ikakua. Kwa hiyo wale wanaoweza wawezeshwe ili wasaidie wengine.

Kuna vijana wako kwenye kilimo, IT, Mechanics, trading, hospitality, nk. Wakipatikana vijana 100 kila mkoa wanaofanya vizuri kwenye biashara zao wakakopeshwa Tsh 100m kila mmoja bila riba itasaidia sana kukuza mitaji yao hali itakayolazimisha kuajiri vijana wenzao.
Pia FAO la kujitoa lingerudishwa vijana wapate mitaji,
 
Back
Top Bottom