Serikali ifanye yafuatayo ili iweze kupunguza tatizo la ajira hasa kwa Walimu

Serikali ifanye yafuatayo ili iweze kupunguza tatizo la ajira hasa kwa Walimu

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
1. Iweke mikakati ya haraka sana ya kuwapa mafunzo ya miaka miwili pindi tu wanapomaliza masomo yao na iwalipe robo tatu ya scale yao ya mishahara.

2. Serikali itoe mikopo ya zana za kilimo, pembejeo na iwagawie vijana maeneo ya kuendesha kilimo kwa mazao ya yote ya chakula na biashara.

3. Serikali iachane kabisa na mtindo wa kulipa posho viongozi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao walipwe mishahara pekee na pesa zote zielekezwe kwenye kutatua changamoto za vijana.

4. Serikali ihakikishe sekta binafsi zinasimama na zinasaidiwa kuimarika kwani ndiyo roho ya uchumi wa taifa lolote ilipo. Madharani serikali iache mara moja kufungia biashara za watu kwani kufanya hivyo ni kuongeza tatizo la ajira na kuleta matatizo ya uchumi kwa taifa

5. Shule za binafsi ziondolewe Kodi na kuwepo usimamizi mkali wa serikali ili ziweze kutoa elimu Bora na walimu wake wapewe mikataba ya kudumu yenye kufata taratibu za nchi. Malipo yote ya shule hizi yawe sawa na Yale ya serikali ili kulinda ajira za Hawa vijana.

#Job security for social stability
 
Tatizo la ukosefu wa AJIRA kwa Vijana ni kubwa sana, zinahitajika nguvu za pamoja Kati ya Serikali na Wananchi wote ili kukabiliana na tatizo hili.
 
Kwenye kundi la wasaka ajira za ualimu huwezi kukuta mtoto wa Rais, Makamo, Waziri, CEO, Mbunge, RC, DC, RAS, DAS, DED, na wakuu wa taasisi mbalimbali wao watoto wao wanaingia moja kwa moja kwenye mfumo, tatizo linaanzia hapo tu, pia ajira kugeuzwa kuwa hisani ya Rais badala ya kujadiliwa bungeni ziwekwe kwenye budget.
 
Kwenye kundi la wasaka ajira za ualimu huwezi kukuta mtoto wa Rais, Makamo, Waziri, CEO, Mbunge, RC, DC, RAS, DAS, DED, na wakuu wa taasisi mbalimbali wao watoto wao wanaingia moja kwa moja kwenye mfumo, tatizo linaanzia hapo tu, pia ajira kugeuzwa kuwa hisani ya Rais badala ya kujadiliwa bungeni ziwekwe kwenye budget.
Kwa Tanzania, kigezo kikubwa zaidi Cha kupata ajira Serikalini kwa sasa hivi ni kuwa muumini mzuri wa UCHAWA, lazima usifu na kuabudu pamoja na kuimba mapambio dhidi ya Watawala!
There is no Meritocracy.
 
Kwa Tanzania, kigezo kikubwa zaidi Cha kupata ajira Serikalini kwa sasa hivi ni kuwa muumini mzuri wa UCHAWA, lazima usifu na kuabudu pamoja na kuimba mapambio dhidi ya Watawala!
There is no Meritocracy.
Je kwenye na watoto wa viongozi nao wamesomea ualimu/nursing? kuna tatizo la kimfumo? watoto wa watawaa ajira zao zipo tu tena sehemu nono tupu(TRA/TPA/TCRA/BoT/TFF/Wizara ya fedha au mambo ya nje n.k
 
Back
Top Bottom