Serikali ifikirieni Mbagala, ipeni hadhi ya wilaya(Manispaa)

Serikali ifikirieni Mbagala, ipeni hadhi ya wilaya(Manispaa)

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wilaya ya Temeke imekuwa kubwa
Sasa ni muda mwafaka itengwe kama ilivyo Kinondoni ilizaa Ubungo,
Ilala ikazaa Kigamboni,

Sasa kwanini Temeke isitoe Manispaa mpya ya Mbagala ambayo inaweza kuchukua baadhi ya maneno ya Mkuranga kama vile Mwandege, Kisewe na Vikindu

Mbagala imepanuka Kwa kasi mno,
Biashara zinafanyika usiku na mchana, kama Kariakoo tu.

Mbagala inazidi sehemu kama Temeke, Mwenge, Makumbusho, Tegeta n.k

Mbagala ina population kubwa zaidi Dar es Salaam

Mbagala imetelekezwa katika miundo mbinu na huduma za jamii, kwakuwa inameza na Temeke ambayo ni ndogo na imedumaa

Mbagala kuzuri mno ,
Tuanzie Mbagala rangi 3, Mbagara mkuu, sabasaba, Mission, Vikunai, Saku, Chamazi, Dondwe, Charambe, Mzambarauni, Mgeni nani? Mzinga n.k

Mbagala kunapendeza aisee

Tunafurahia Kwa pamoja Manispaa yetu mpya ya Mbagala
 
🤣 🤣 🤣 ukiwa na biashara ya daladala popote pale Kwa Far es salaam itisha Tu mbagala gari yako itajaa ndani ya dakika 2

Mbagala ni dili sana kwa wafanyabiashara.

Bei ya kukodi fremu mbagala rangi 3 ni kubwa kuliko bei ya fremu mwenge, makumbusho ama kinondoni.
 
Mbagala kuna people 2m - Zanzibar people hazifiki Hata 1.5m.
Lakin Zanzibar majuzi wamenunuliwa Dreamliner mpyaaa, worth< 225 USD dollars million.

Na Leo prof , kitila mkumbo anasema wameshauriwa kujenga bridge form Tanganyika to Zanzibar costly 11 trillions of Tanganyika shillings.

Akili ni Mali
 
Mbagala kuna people 2m - Zanzibar people hazifiki Hata 1.5m.
Lakin Zanzibar majuzi wamenunuliwa Dreamliner mpyaaa, worth< 225 USD dollars million.

Na Leo prof , kitila mkumbo anasema wameshauriwa kujenga bridge form Tanganyika to Zanzibar costly 11 trillions of Tanganyika shillings.

Akili ni Mali
Hakika Mkuu
 
Mbagala kuna people 2m - Zanzibar people hazifiki Hata 1.5m.
Lakin Zanzibar majuzi wamenunuliwa Dreamliner mpyaaa, worth< 225 USD dollars million.

Na Leo prof , kitila mkumbo anasema wameshauriwa kujenga bridge form Tanganyika to Zanzibar costly 11 trillions of Tanganyika shillings.

Akili ni Mali
Mbagala ina watu 819,120 kwa mujibu wa taarifa ya Sensa ya watu na makazi 2022
 
Mbagala kuna people 2m - Zanzibar people hazifiki Hata 1.5m.
Lakin Zanzibar majuzi wamenunuliwa Dreamliner mpyaaa, worth< 225 USD dollars million.

Na Leo prof , kitila mkumbo anasema wameshauriwa kujenga bridge form Tanganyika to Zanzibar costly 11 trillions of Tanganyika shillings.

Akili ni Mali
Kujenga Hilo daraja ni upumbavu.
 
Back
Top Bottom