KERO Serikali ifuatilie Chuo cha maendeleo ya wananchi Same (FDC) hakitoi vyeti kwa wakati

KERO Serikali ifuatilie Chuo cha maendeleo ya wananchi Same (FDC) hakitoi vyeti kwa wakati

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Great_j

New Member
Joined
Oct 29, 2023
Posts
3
Reaction score
0
Serikali/mamlaka husika ijaribu kufuatilia na kuchunguza uongozi wa chuo cha maendeleo ya wananchi same -kilimanjaro (FDC), hadi sasa baadhi ya wanafunzi waliowahi kumaliza chuoni hapo wanalalamika kukosa vyeti mpaka sasa na hawaoni ufatiliaji wowote ule kutoka kwa uongozi wa chuo hicho.
 
Serikali/mamlaka husika ijaribu kufuatilia na kuchunguza uongozi wa chuo cha maendeleo ya wananchi same -kilimanjaro (FDC), hadi sasa baadhi ya wanafunzi waliowahi kumaliza chuoni hapo wanalalamika kukosa vyeti mpaka sasa na hawaoni ufatiliaji wowote ule kutoka kwa uongozi wa chuo hicho.
Walimaliza lini?

Kwanini wengine wapewe wao wasipewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na ndio maana nikasema kuna kutokuwajibika kwa viongozi wa chuo hicho, na sijasema kwamba wengine wamepewa wengine hawajapewa ni wanafunzi hao wa mwaka 2020-2021
Unaposema baadhi, maana yake wengine wamepewa tayari?

Wale wa mwaka 2022/2023 wameshapewa vyeti vyao?

Wanafunzi wa ngazi ipi?
 
Back
Top Bottom