Serikali igeuze stendi ya Msamvu kuwa uwanja wa mpira AFCON 2027

Serikali igeuze stendi ya Msamvu kuwa uwanja wa mpira AFCON 2027

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Habari wakuu,

Mji wa Morogoro mjini haukuwi kwa kasi sababu umebanana,
Stendi ya msamvu isogezwe Azimio au mbele huko mitaa ya kwa chambu usawa wa shamba la katani kushoto kama unaenda mkundi,
Ili iwe jirani na kituo cha SGR.

Kituo cha bus msamvu kigeuzwe kuwa uwanja wa mpira wa kisasa,
Miundo mbinu yote ipo kama vile parking, vyoo, jengo la mapumziko n.k ni kuweka nyasi na viti tu timu zinaingia uwanjani (maboresho kidogo)
Screenshot_20240723-132730_1.jpg


Pia location ipo vizuri, picha ya angani itatoka vizuri.

Utalii wa mikumi utakua kwa timu za kigeni zitapata fursa ya kutalii huko.

Nawasilisha
 
Hyo stend ilijengwa kwa ubia kati ya mfuko wa pension wa wafanyakazi wa serikali za mitaa ( LAPF) kwa kipindi hicho pamoja na manispaa ya morogoro. Manispaa walitoa eneo na LAPF wakatoa pesa nikama ilivyo kule mwanza na kitega uchumi cha Rock city mall. Sasa wakivunja stend wastaafu pension zao itakuwaje ?
 
Hyo stend ilijengwa kwa ubia kati ya mfuko wa pension wa wafanyakazi wa serikali za mitaa ( LAPF) kwa kipindi hicho pamoja na manispaa ya morogoro. Manispaa walitoa eneo na LAPF wakatoa pesa nikama ilivyo kule mwanza na kitega uchumi cha Rock city mall. Sasa wakivunja stend wastaafu pension zao itakuwaje ?
Mkuu hata uwanja ni kitega uchumi kizuri huoni manispaa ya kinondoni imejenga uwanja
 
Mkuu hata uwanja ni kitega uchumi kizuri huoni manispaa ya kinondoni imejenga uwanja
Wewe unaangalia kodi ya pangolin kwenye flame za maduka na% kwenye kiingilio stend inaingiza pesa kila siku. Emu fikilia kila bus linalopita stend ya msanvu linalipa elfu kumi ujaweka coster ujaweka maegesho ya nje ujaweka pesa ya wale wanaotaka kuingia ndani ujaweka kodi za pango. Stend nikitu kingine.
 
Back
Top Bottom