Serikali ihakikishe Aziz Ki anabaki Yanga

Serikali ihakikishe Aziz Ki anabaki Yanga

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Chonde chonde, viongozi wa serikali hakikisheni club hii yenye nasaba na Uhuru wa hii nchi (Dar es Salaam Young Africans)

1. Inambakiza Aziz Ki (kwa makusanyo ya ndani hususa ni bandarini)

2. Wafanyabiashara wakubwa walio wekeza Tanzania kama GSM, DP World, Rostam Aziz Aliko Dangote na wengine watoe kiasi kisichopungua bilioni 10 kila mmoja kwaajili ya kununua ndege ya kifahari ya Club.

3. Ianzishwe tozo maalumu kwa watumiaji wote wa simu kwaajili ya kuhakikisha Yanga inatwaa club bingwa ya Africa msimu huu.

4. Wafanyabiashara watakao toa ushirikiano wapewe unafuu kwenye biashara zao na wazitangaze kupitia redio na televisheni ya taifa bure.

IKUMBUKWE:
1. Kati ya timu zote zinazoshiriki michuano ya kimataifa ni Yanga pekee hutumia jezi zenye rangi 3 kati ya 4 zilizopo kwenye bendera ya taifa (Njano, Kijani na Nyeusi)

2. Yanga ndiyo timu pekee yenye rangi zinazo shabihiana na chama kikongwe zaidi ambacho bado kipo madarakani hadi leo.

Daima Mbele, Backward Never.

========
Updates: Amebaki. Asante serikali ya chama cha Mapinduzi, kwakweli mimi siwaungi mkono kwenye mambo yote ila hili la Yanga tupo pamoja.
 
Yaani nchi ya Tanzania inategemea kuendelea kwa kuwa na watu wenye akili mavx mavx kama huyu mtoa mada.

Na usikute na yeye ni baba wa wafamilia eti..takaxtakx kabisa

Kwanza Simba sc mnatakiwa mushtaki yanga FIFA kwa kutumika kisiasa na kuharibu soka la Tanzania ili ifungiwe isishiriki ligi za kiamatais kwasababu GSM amezaminivilabu 7 na wanamchangia yanga point, kwa mantiki hii yanga inatumia migongo ya kisiasa na njanja kupata ushindi.Hii timu yenye rangi ya mavx mavx inamamno kipumbavu sana.

Kumbuka nchi hii watakuja kutawala marais Simba sc damu,unafikiri nini kitatokea baadaya hapo kwa huu upumbavu wako...kuna viongozi wapo wanaipenda Simba kuliko wake zao,lazima watafanya jambo kwa maslahi ya Simba sc kipindi hicho..tusichanganye siasa na mpira.
 
Yaani nchi ya Tanzania inategemea kuendelea kwa kuwa na watu wenye akili mavx mavx kama huyu mtoa mada.

Na usikute na yeye ni baba wa wafamilia eti..takaxtakx kabisa

Kwanza Simba sc mnatakiwa mushtaki yanga FIFA kwa kutumika kisiasa na kuharibu soka la Tanzania ili ifungiwe isishiriki ligi za kiamatais kwasababu GSM amezaminivilabu 7 na wanamchangia yanga point, kwa mantiki hii yanga inatumia migongo ya kisiasa na njanja kupata ushindi.Hii timu yenye rangi ya mavx mavx inamamno kipumbavu sana.

Kumbuka nchi hii watakuja kutawala marais Simba sc damu,unafikiri nini kitatokea baadaya hapo kwa huu upumbavu wako...kuna viongozi wapo wanaipenda Simba kuliko wake zao,lazima watafanya jambo kwa maslahi ya Simba sc kipindi hicho..tusichanganye siasa na mpira.
Kiongozi gani wa simba unaemjuwa anaeipenda simba kuliko mkewe?hapo rekebisha kauli ndugu
 
Chonde chonde, viongozi wa serikali hakikisheni club hii yenye nasaba na Uhuru wa hii nchi (Dar es Salaam Young Africans)

1. Inambakiza Aziz Ki (kwa makusanyo ya ndani hususa ni bandarini)

2. Wafanyabiashara wakubwa walio wekeza Tanzania kama GSM, DP World, Rostam Aziz Aliko Dangote na wengine watoe kiasi kisichopungua bilioni 10 kila mmoja kwaajili ya kununua ndege ya kifahari ya Club.

3. Ianzishwe tozo maalumu kwa watumiaji wote wa simu kwaajili ya kuhakikisha Yanga inatwaa club bingwa ya Africa msimu huu.

4. Wafanyabiashara watakao toa ushirikiano wapewe unafuu kwenye biashara zao na wazitangaze kupitia redio na televisheni ya taifa bure.

IKUMBUKWE:
1. Kati ya timu zote zinazoshiriki michuano ya kimataifa ni Yanga pekee hutumia jezi zenye rangi 3 kati ya 4 zilizopo kwenye bendera ya taifa (Njano, Kijani na Nyeusi)

2. Yanga ndiyo timu pekee yenye rangi zinazo shabihiana na chama kikongwe zaidi ambacho bado kipo madarakani hadi leo.

Daima Mbele, Backward Never.
Serikali yetu ni sikivu na hivyo ni miongoni mwa vipa UMBELE
 
Chonde chonde, viongozi wa serikali hakikisheni club hii yenye nasaba na Uhuru wa hii nchi (Dar es Salaam Young Africans)

1. Inambakiza Aziz Ki (kwa makusanyo ya ndani hususa ni bandarini)

2. Wafanyabiashara wakubwa walio wekeza Tanzania kama GSM, DP World, Rostam Aziz Aliko Dangote na wengine watoe kiasi kisichopungua bilioni 10 kila mmoja kwaajili ya kununua ndege ya kifahari ya Club.

3. Ianzishwe tozo maalumu kwa watumiaji wote wa simu kwaajili ya kuhakikisha Yanga inatwaa club bingwa ya Africa msimu huu.

4. Wafanyabiashara watakao toa ushirikiano wapewe unafuu kwenye biashara zao na wazitangaze kupitia redio na televisheni ya taifa bure.

IKUMBUKWE:
1. Kati ya timu zote zinazoshiriki michuano ya kimataifa ni Yanga pekee hutumia jezi zenye rangi 3 kati ya 4 zilizopo kwenye bendera ya taifa (Njano, Kijani na Nyeusi)

2. Yanga ndiyo timu pekee yenye rangi zinazo shabihiana na chama kikongwe zaidi ambacho bado kipo madarakani hadi leo.

Daima Mbele, Backward Never.
You're horrible and insignificant selfish man in the world.
 
Chonde chonde, viongozi wa serikali hakikisheni club hii yenye nasaba na Uhuru wa hii nchi (Dar es Salaam Young Africans)

1. Inambakiza Aziz Ki (kwa makusanyo ya ndani hususa ni bandarini)

2. Wafanyabiashara wakubwa walio wekeza Tanzania kama GSM, DP World, Rostam Aziz Aliko Dangote na wengine watoe kiasi kisichopungua bilioni 10 kila mmoja kwaajili ya kununua ndege ya kifahari ya Club.

3. Ianzishwe tozo maalumu kwa watumiaji wote wa simu kwaajili ya kuhakikisha Yanga inatwaa club bingwa ya Africa msimu huu.

4. Wafanyabiashara watakao toa ushirikiano wapewe unafuu kwenye biashara zao na wazitangaze kupitia redio na televisheni ya taifa bure.

IKUMBUKWE:
1. Kati ya timu zote zinazoshiriki michuano ya kimataifa ni Yanga pekee hutumia jezi zenye rangi 3 kati ya 4 zilizopo kwenye bendera ya taifa (Njano, Kijani na Nyeusi)

2. Yanga ndiyo timu pekee yenye rangi zinazo shabihiana na chama kikongwe zaidi ambacho bado kipo madarakani hadi leo.

Daima Mbele, Backward Never.

========
Updates: Amebaki. Asante serikali ya chama cha Mapinduzi, kwakweli mimi siwaungi mkono kwenye mambo yote ila hili la Yanga tupo pamoja.
Na ikawa.
 
Chonde chonde, viongozi wa serikali hakikisheni club hii yenye nasaba na Uhuru wa hii nchi (Dar es Salaam Young Africans)

1. Inambakiza Aziz Ki (kwa makusanyo ya ndani hususa ni bandarini)

2. Wafanyabiashara wakubwa walio wekeza Tanzania kama GSM, DP World, Rostam Aziz Aliko Dangote na wengine watoe kiasi kisichopungua bilioni 10 kila mmoja kwaajili ya kununua ndege ya kifahari ya Club.

3. Ianzishwe tozo maalumu kwa watumiaji wote wa simu kwaajili ya kuhakikisha Yanga inatwaa club bingwa ya Africa msimu huu.

4. Wafanyabiashara watakao toa ushirikiano wapewe unafuu kwenye biashara zao na wazitangaze kupitia redio na televisheni ya taifa bure.

IKUMBUKWE:
1. Kati ya timu zote zinazoshiriki michuano ya kimataifa ni Yanga pekee hutumia jezi zenye rangi 3 kati ya 4 zilizopo kwenye bendera ya taifa (Njano, Kijani na Nyeusi)

2. Yanga ndiyo timu pekee yenye rangi zinazo shabihiana na chama kikongwe zaidi ambacho bado kipo madarakani hadi leo.

Daima Mbele, Backward Never.

========
Updates: Amebaki. Asante serikali ya chama cha Mapinduzi, kwakweli mimi siwaungi mkono kwenye mambo yote ila hili la Yanga tupo pamoja.
Hata Mimi wakina Mavunde ma Mwigulu niko mai kwenye mambo ya Yanga ila kwenye mambo yao ya serikali ma ccm sipo nap kamwe
 
Yaani nchi ya Tanzania inategemea kuendelea kwa kuwa na watu wenye akili mavx mavx kama huyu mtoa mada.

Na usikute na yeye ni baba wa wafamilia eti..takaxtakx kabisa

Kwanza Simba sc mnatakiwa mushtaki yanga FIFA kwa kutumika kisiasa na kuharibu soka la Tanzania ili ifungiwe isishiriki ligi za kiamatais kwasababu GSM amezaminivilabu 7 na wanamchangia yanga point, kwa mantiki hii yanga inatumia migongo ya kisiasa na njanja kupata ushindi.Hii timu yenye rangi ya mavx mavx inamamno kipumbavu sana.

Kumbuka nchi hii watakuja kutawala marais Simba sc damu,unafikiri nini kitatokea baadaya hapo kwa huu upumbavu wako...kuna viongozi wapo wanaipenda Simba kuliko wake zao,lazima watafanya jambo kwa maslahi ya Simba sc kipindi hicho..tusichanganye siasa na mpira.
Hata wale waliochangia magoli 7 nan point 6 nao wanadhaminiwa ma GSM?
 
Chonde chonde, viongozi wa serikali hakikisheni club hii yenye nasaba na Uhuru wa hii nchi (Dar es Salaam Young Africans)

1. Inambakiza Aziz Ki (kwa makusanyo ya ndani hususa ni bandarini)

2. Wafanyabiashara wakubwa walio wekeza Tanzania kama GSM, DP World, Rostam Aziz Aliko Dangote na wengine watoe kiasi kisichopungua bilioni 10 kila mmoja kwaajili ya kununua ndege ya kifahari ya Club.

3. Ianzishwe tozo maalumu kwa watumiaji wote wa simu kwaajili ya kuhakikisha Yanga inatwaa club bingwa ya Africa msimu huu.

4. Wafanyabiashara watakao toa ushirikiano wapewe unafuu kwenye biashara zao na wazitangaze kupitia redio na televisheni ya taifa bure.

IKUMBUKWE:
1. Kati ya timu zote zinazoshiriki michuano ya kimataifa ni Yanga pekee hutumia jezi zenye rangi 3 kati ya 4 zilizopo kwenye bendera ya taifa (Njano, Kijani na Nyeusi)

2. Yanga ndiyo timu pekee yenye rangi zinazo shabihiana na chama kikongwe zaidi ambacho bado kipo madarakani hadi leo.

Daima Mbele, Backward Never.

========
Updates: Amebaki. Asante serikali ya chama cha Mapinduzi, kwakweli mimi siwaungi mkono kwenye mambo yote ila hili la Yanga tupo pamoja.
Mentality kama zenu ndio zimelifikisha hapa Taifa
 
Back
Top Bottom