LGE2024 Serikali ihamasishe wananchi kujitokeza kwenye vituo kujiandikisha na siyo kuwafuata majumbani

LGE2024 Serikali ihamasishe wananchi kujitokeza kwenye vituo kujiandikisha na siyo kuwafuata majumbani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Brainwise

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
225
Reaction score
348
Kuna hii mbinu ya kuwafuata wananchi majumbani kuwaandikisha kupiga kura kwenye chaguzi za serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 2024.

Ninajiuliza tu, kuandikisha wanafuatwa nyumbani. Siku ya kupiga kura watapelekewa masanduku na karatasi za kupigia kura nyumbani wapige kura? Ninadhani serikali imekosa ubunifu. Uchaguzi utadorora sana mwaka huu.

Kuna karani mmoja anaambiwa na raia kuwa asingemfuata asingeenda kujiandiksha. Unajiuliza kama hawezi kwenda kujiandikisha, je ataenda kupiga kura?

Ninadhani kuna jambo la kufanya kuwahamasisha wananchi wajiandikishe kisha wakapige kura siku ya uchaguzi.
 
Ni usumbufu tu, kwanini vitambulisho vya NIDA au kitambulisho cha mpiga kura kisitumike kumchagua kiongozi unayemtaka, nadhani ni mbinu ya CCM kudiscarage watu wasipige kura.
 
Kama viongozi tunaowateua wangekuwa wanasikilizwa isingekuwa Tabu,mfano,Ilala DSM,mitaa ya watu tu sio wa biashara panapigwa lami halafu KKO palipo na biashara za nchi hii pana mashimo makubwa kupindukia.
 
Hivi kumbe bado kuna watu wanaopiga Kura mi sijui hata inakuaje sijawahi kupiga Kura tokea nizaliwe, na sitawahi
 
Kuna hii mbinu ya kuwafuata wananchi majumbani kuwaandikisha kupiga kura kwenye chaguzi za serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 2024.

Ninajiuliza tu, kuandikisha wanafuatwa nyumbani. Siku ya kupiga kura watapelekewa masanduku na karatasi za kupigia kura nyumbani wapige kura?

Ninadhani serikali imekosa ubunifu. Uchaguzi utadorora sana mwaka huu.

Kuna karani mmoja anaambiwa na raia kuwa asingemfuata asingeenda kujiandiksha. Unajiuliza kama hawezi kwenda kujiandikisha, je ataenda kupiga kura?

Ninadhani kuna jambo la kufanya kuwahamasisha wananchi wajiandikishe kisha wakapige kura siku ya uchaguzi.
Watu awaoni umuhimu wa kufanya hivyo kutokana na kuchoshwa na vitendo vya ubadhilifu
 
Hapa kuna balozi moja imekataa kujianfikisha, wanasema mpaka waletewe umeme.

Jimbo la Mheshimiwa Koka.
 
Kuna hii mbinu ya kuwafuata wananchi majumbani kuwaandikisha kupiga kura kwenye chaguzi za serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 2024.

Ninajiuliza tu, kuandikisha wanafuatwa nyumbani. Siku ya kupiga kura watapelekewa masanduku na karatasi za kupigia kura nyumbani wapige kura?

Ninadhani serikali imekosa ubunifu. Uchaguzi utadorora sana mwaka huu.

Kuna karani mmoja anaambiwa na raia kuwa asingemfuata asingeenda kujiandiksha. Unajiuliza kama hawezi kwenda kujiandikisha, je ataenda kupiga kura?

Ninadhani kuna jambo la kufanya kuwahamasisha wananchi wajiandikishe kisha wakapige kura siku ya uchaguzi.

Binafsi naona hiyo ni njia nzuri sana ya kufuata watu majumbani na kuwandikisha...
Kwani wakikufuata Nyumbani wanakuuliza chama unachopigia kura???

Wananchi wakisha andikishwa inabaki siku moja tu ya kupiga kura ambayo inatosha kabisa
Tuacheni kuwa na mawazo hasi hata kwa mambo mazuri!
 
Sio kwamba wanakataa kujiandikisha bali wanaogopa kutekwa. Serikali ikomeshe wimbi la utekaji na kuwaachillia huru wale wote iliyowateka uone kama kuna mtu ataogopa kwenda kujiandikisha
 
Ni usumbufu tu, kwanini vitambulisho vya NIDA au kitambulisho cha mpiga kura kisitumike kumchagua kiongozi unayemtaka, nadhani ni mbinu ya ccm kudiscarage watu wasipige kura.
Moja ya Sababu za kuandikisha ni pamoja na kuingiza wale wapya ambao hapo kabla hawakufikia umri na hawana vitambulisho wala NIDA na sasa wamefikia umri. THINK BIG
 
Nilikua nacheka sana baadhi ya watu wanaposema Ahmed Ally, Manara na Ally Kamwe ndio sababu ya kujaza uwanja. Kinachohamailsisha watu kwenda uwanjani ni performance ya timu. Ikiwa nzuri mashabiki watafika tu kwa wingi wala hawahitaji mtu kupita na vispika kuwahamasisha.

Kujiandikisha hakuhitaji hamasa, siku kila mwananchi atapofeel kura yake inaweza kuathiri matokeo atakuja yeye mwenyewe.

Fikiria umepanda foleni mchana wa jua kali, umepiga kura yako fresh halafu baadae unamsikia Mbwiga flani hivi anajitapa matokeo ya kura yanategemea na nani anahesabu hizo kura.

Sasa ndugu zangu hamuoni kama huo ni ujinga wa kiwango cha changarawe kwenda kujipanga tena kujiandikisha?
 
Wakati CHADEMA wamelala usingizi wa pono kana kwamba hawatashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, wenzan CCM wanaingia mpaka makanisani wakihamasisha wananchi wakajiandikishe. tena wanatoa sadaka hata kama wameingia mwishoni mwa ibada. hata misikitini wanaingia maana masheikh nao wanapaza sauti wananchi wakajiandikishe. ila hili zoezi la mwaka huu ni kama wananchi wanalipotezea, hakuna jam kwenye vituo vya uandikishaji
 
Kuna hii mbinu ya kuwafuata wananchi majumbani kuwaandikisha kupiga kura kwenye chaguzi za serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 2024.

Ninajiuliza tu, kuandikisha wanafuatwa nyumbani. Siku ya kupiga kura watapelekewa masanduku na karatasi za kupigia kura nyumbani wapige kura? Ninadhani serikali imekosa ubunifu. Uchaguzi utadorora sana mwaka huu.

Kuna karani mmoja anaambiwa na raia kuwa asingemfuata asingeenda kujiandiksha. Unajiuliza kama hawezi kwenda kujiandikisha, je ataenda kupiga kura?

Ninadhani kuna jambo la kufanya kuwahamasisha wananchi wajiandikishe kisha wakapige kura siku ya uchaguzi.
Watu awaoni umuhimu wa kufanya hivyo kutokana na kuchoshwa na vitendo vya ubadhilifu
Hivi kumbe bado kuna watu wanaopiga Kura mi sijui hata inakuaje sijawahi kupiga Kura tokea nizaliwe, na sitawahi
Ni usumbufu tu, kwanini vitambulisho vya NIDA au kitambulisho cha mpiga kura kisitumike kumchagua kiongozi unayemtaka, nadhani ni mbinu ya CCM kudiscarage watu wasipige kura.
Mimi hata wakija sitajiandikisha
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom