Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Ukiona mtu mzima analalamika ujue kuna jambo.
 
Duh hili dongo noma aisee 🤣🤣🤣
 
UWEPO WA FAKE HAIMANISHI KWAMBA HAMNA GENUEINE, MBONA WATU WANAPIGWA SANA KWA VITU FAKE NI MWNEDELEZO HUO HUO MPAKA DAWA FEKI NA MADAKTARI FAKE WAPO, TUNAJUA FAKE NA OG KWA KUZINGATIA SPECIFICATION ZA OG. KAMA HUJUI SPECS ZA OG. LAZIMA UPIGWE NA FAKE NA HII INAPLY KWA KILA KITU.
 


Wee unawaona masikini wa kipato tu. Lakini umasikini wq kipato unaanzia akilini na kwenye mtazamo. Kupiga marufuku makanisa hayo hakutapunguza ama kufuta umasikini. Maana umasikini hauna uhusiano na hao manabii au imani.
Tuwekeze kwenye elimu kama walivyofanya wenzetu Wachina hiyo ndiyo suluhu.
 
Kaka paschal ni ngumu sanaa kuingilia Uhuru wa kuabudu....

Secular state & non_secular state

Cc. Bujibuji Simba Nyamaume , Mshana Jr , Kiranga , Mohamed Said , FaizaFoxy
 
P nakusalimu kwa jina la kwa maslahi ya taifa,utafiti wako wa kihabari umeufanhia pale kwenye jimbo lako la makazi,ama umejumuisha taifa zima kwa maslahi ya taifa🤔
 
Haoomnawaongeleaaa wadogooosanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…