Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,736
Habari wadau.
Naongea na watu wa bodi ya mikopo HESLB. Vijana wetu wanaenda kuomba mikopo kwenye website yao na hakuna msaada. Kwa mfano wamehitaji namba ya NIDA kwa hawa vijana. Baadae wanasema ni lazima Ufanye attachment ya kitambulisho cha NIDA.
Watanzania kibao wana namba. Ok basi itokee utake ufafanuzi hakuna namba inayopatikana. Wameweka kama geresha tu.
0736 66 55 33 (WhattsApp); 022 550 7910 (Calls from any network); adcp@heslb.go.tz. mawasiliano yao walio andika kwenye website haya lakini piga uoone utaacho kutana nachoo si whatsapp si regular call
Baadhi ya namba nyingine za landline tunaambiwa mtumiaji hajalipia. Kwa style hii wapeni tu wanenu mikopo.
Naongea na watu wa bodi ya mikopo HESLB. Vijana wetu wanaenda kuomba mikopo kwenye website yao na hakuna msaada. Kwa mfano wamehitaji namba ya NIDA kwa hawa vijana. Baadae wanasema ni lazima Ufanye attachment ya kitambulisho cha NIDA.
Watanzania kibao wana namba. Ok basi itokee utake ufafanuzi hakuna namba inayopatikana. Wameweka kama geresha tu.
0736 66 55 33 (WhattsApp); 022 550 7910 (Calls from any network); adcp@heslb.go.tz. mawasiliano yao walio andika kwenye website haya lakini piga uoone utaacho kutana nachoo si whatsapp si regular call
Baadhi ya namba nyingine za landline tunaambiwa mtumiaji hajalipia. Kwa style hii wapeni tu wanenu mikopo.