Serikali iishawishi TFF iwatoe kifungoni ndugu Dauda na Manara ili waambatane na Serengeti Queens huko India

Serikali iishawishi TFF iwatoe kifungoni ndugu Dauda na Manara ili waambatane na Serengeti Queens huko India

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Serikali kupitia Wizara ya Michezo iishawishi TFF iwatoe kifungoni bwana Shaffih Dauda na Haji Manara kwa maslahi ya nchi kwenye upande wa hamasa wa Timu zetu za Taifa.

Pamoja na mapungufu ya wadau hao wa Soka bado ni watu muhimu kwenye uga wa hamasa na kukosea kwao isiwe sababu ya kushindwa kuwasamehe.Kukosea kupo.

Mfano Timu yetu ya Serengeti Queens inayoelekea huko kwenye kombe la Dunia inawahitaji watu kama Dauda na Manara kwa ajili ya hamasa.

DAUDA NA MANARA WASAMEHEWE NA WATAKIWE MARA MOJA WAAMBATANE NA SERENGETI QUEENS HUKO INDIA KWA AJILI YA HAMASA.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Kwani Manara na Dauda wataishi milele?

Mfn. ukiwa na mwalimu anayefundisha ila anawabemenda wanafunzi wako, Je! utamwacha aichafue shule ingawa ni mwalimu mzuri?

Kwani kufa kwa Ruge Clause imekufa?

Kuna watu wengi tz hii wanaweza kuinua doka la bongo na silazima Manara .... mana wew nishakujua unamia sana Manara kufungiwa na si Shaffih Dauda!

Hayo ni mawazo ya kihuni kabisa yaaan!
 
Serikali kupitia Wizara ya Michezo iishawishi TFF iwatoe kifungoni bwana Shaffih Dauda na Haji Manara kwa maslahi ya nchi kwenye upande wa hamasa wa Timu zetu za Taifa.

Pamoja na mapungufu ya wadau hao wa Soka bado ni watu muhimu kwenye uga wa hamasa na kukosea kwao isiwe sababu ya kushindwa kuwasamehe.Kukosea kupo.

Mfano Timu yetu ya Serengeti Queens inayoelekea huko kwenye kombe la Dunia inawahitaji watu kama Dauda na Manara kwa ajili ya hamasa.

DAUDA NA MANARA WASAMEHEWE NA WATAKIWE MARA MOJA WAAMBATANE NA SERENGETI QUEENS HUKO INDIA KWA AJILI YA HAMASA.

Mungu ibariki Tanzania.
Mods tuondoleeni hii takataka

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
DAUDA NA MANARA WASAMEHEWE NA WATAKIWE MARA MOJA WAAMBATANE NA SERENGETI QUEENS HUKO INDIA KWA AJILI YA HAMASA.
Mungu ibariki Tanzania.
Kuna wengine pia wamefungiwa na TFF, sio hao tu. Mmojawapo ni kocha wa Mbeya Kwanza, Mbwana Makata ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitano. Sasa iweje watajwe wawili tu? Kwani naye Makata hahitaji kwenda India?
 
Kuna wengine pia wamefungiwa na TFF, sio hao tu. Mmojawapo ni kocha wa Mbeya Kwanza, Mbwana Makata ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitano. Sasa iweje watajwe wawili tu? Kwani naye Makata hahitaji kwenda India?
Mbwana Makata kifungo chake kilishapunguzwa, adhabu ilipunguzwa kutoka miaka mitano hadi miezi 6..soon adhabu yake ataimaliza
 
Manara tukutane 2024 na hiyo milioni 10 ulipe.

Umedhalilisha watu wengi sana kisa ualbino, wakikujibu wanaonekana wananyanyapaa mlemavu.

Halafu uache kujisifu kuwa umewapa ubingwa Yanga. Hizo ni juhudi za wachezaji, kocha na wafadhili ( GSM na Sportpesa).
 
Sope afungiwe maisha kwani kila siku iendayo kwa Mungu lazima aitukane TFF.
 
Kwa hiyo huko kwenye kombe la dunia wanaenda kumhamasisha nani?
 
Timu za taifa zenyewe zishaa kufa kifo cha mende hao wacha wanywe vikombe vyao.
 
Labda Dauda tangu afungiwe ametii na kuwa na adabu.

Huyo mwingine aongezewe adhabu maana ameendelea kutoiheshimu mamlaka
Pia hao wote hawana mchango wowote kwa Timu ya Taifa ya wanawake
 
Waambatane na timu kwani nao wachezaji?
 
Back
Top Bottom