Safiriabdi
New Member
- May 29, 2024
- 1
- 1
Nashauri serikali yetu iwe na mipango ya kujenga vituo vya kipolisi kwa kila kata, pia kuwe na gari za wagonjwa, gari za zima moto.
Katika huduma ya afya, nashauri maduka yote ya dawa yapewe vibali maalum vya kuuza dawa ili dawa zipatikane hospitali za kata kwa urahisi.
Manaibu waziri, wakuu wa wilaya, makatibu wasaidizi, wenyeviti wa halmashauri wafutwe ili pesa zipelekwe kwenye mipangilio mingine.
Katika huduma ya afya, nashauri maduka yote ya dawa yapewe vibali maalum vya kuuza dawa ili dawa zipatikane hospitali za kata kwa urahisi.
Manaibu waziri, wakuu wa wilaya, makatibu wasaidizi, wenyeviti wa halmashauri wafutwe ili pesa zipelekwe kwenye mipangilio mingine.