JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Huu ni ukweli kulingana na uzoefu wangu.
Nchi wahisani wamekuwa na masharti magumu mno. Mengi ni kuhakikisha tunabaki tulivyo miaka nenda rudi.
Serikali ichukue jukumu la kuendeleza uchumi wetu kulingana na rasilimali tulizonazo.
Hii ya kujivunia kupendwa na wazungu ama kutaka kuonekana uko bega kwà bega ni international bodies tutapotezeana mda.
Mulioko kwenye madaraka ya kuongoza serikali mjitahidi mtumie rasimili tulizo nazo kupata pesa za kuendesha serikali.
Bahati nzuri wananchi wengi wanajitafutia chakula na nahitaji yao wenyewe. Wachache tu ndo walioajiriwa. Ni muda muafaka kufanya mambo kwà mpangilio ili tutoke hapa tulipo.
Nchi wahisani wamekuwa na masharti magumu mno. Mengi ni kuhakikisha tunabaki tulivyo miaka nenda rudi.
Serikali ichukue jukumu la kuendeleza uchumi wetu kulingana na rasilimali tulizonazo.
Hii ya kujivunia kupendwa na wazungu ama kutaka kuonekana uko bega kwà bega ni international bodies tutapotezeana mda.
Mulioko kwenye madaraka ya kuongoza serikali mjitahidi mtumie rasimili tulizo nazo kupata pesa za kuendesha serikali.
Bahati nzuri wananchi wengi wanajitafutia chakula na nahitaji yao wenyewe. Wachache tu ndo walioajiriwa. Ni muda muafaka kufanya mambo kwà mpangilio ili tutoke hapa tulipo.