Serikali ikimchekea Mchungaji Gwajima yatatokea yale ya Kinjingitile Ngwale na Mchungaji wa Loliondo

Serikali ikimchekea Mchungaji Gwajima yatatokea yale ya Kinjingitile Ngwale na Mchungaji wa Loliondo

EngutanK

Member
Joined
May 3, 2021
Posts
99
Reaction score
244
Serikali ikiendelea kumchekea huyu Mhuni Mchungaji Gwajima yatajirudia yale yaliyotokea wakati wa vita vya majimaji wapiganaji walivyopotoshwa na Kinjikitile eti risasi zitageuka maji ambapo watu walipoteza maisha kwa malaki kwa ujinga wa mtu mmoja.

Hivi majuzi babu wa Loliondo kama Mchungaji Gwajima naye kawaminisha eti kaoteshwa dawa ya kutibu Magonjwa yote Sugu kwa kikombe watu wamemwamini kumbe ni uwongo mtupu matokeo yake watu wakaacha dozi zao ambapo ikapelekea watu kufa kwa maelfu. Ulimwengu mzima likiwemo shirika la afya duniani wakatuona sisi wabongo ni kituko.

Sasa Mchungaji Gwajima , yaani Tanzania haijajifunza na matukio ya nyuma inamlelea lea tu huyu Mhuni GWAJIMA na uhuni wake wa kukejeli chanjo ya COVID-99 hakika nawaambia watanzania watapukutika, serikali iendelee tu kumlealea.
 
Je, tukichanjwa hatutaambukizwa?

Je, tukichanjwa hatutawaambukiza wengine?

Je, ni nini madhara ya chanjo hizi kwa muda wa kati na mrefu?

Je, Mheshimiwa Rais si amesema chanjo ni hiari?

Mkiweza kujibu hayo maswali na majibu yenu yaka-make sense then hakuna atakayehangaika na Gwajima.
 
Wewe nani, Msimamo wa Serikali na Mama ni kua


KUCHANJWA NI HIYARI.



Kwann walochanjwa mnatumia nguvu kibwa ili nawengine wachanjwe ????.




Sasa kama mlochanjwa mnakomaa kupigania watu wachanje


Na ambao hawajachanjwa wacha waendelee kukomaa kupigania watu wasichanjwe.
 
Gwajima sasaivi anamsingizia roho mtakatifu
 
We kama umesha chanja tulia mzee, chanjo sio lazima, tulizashono
Serikali ikiendelea kumchekea huyu Mhuni Mchungaji Gwajima yatajirudia yale yaliyotokea wakati wa vita vya majimaji wapiganaji walivyopotoshwa na Kinjikitile eti risasi zitageuka maji ambapo watu walipoteza maisha kwa malaki kwa ujinga wa mtu mmoja.

Hivi majuzi babu wa Loliondo kama Mchungaji Gwajima naye kawaminisha eti kaoteshwa dawa ya kutibu Magonjwa yote Sugu kwa kikombe watu wamemwamini kumbe ni uwongo mtupu matokeo yake watu wakaacha dozi zao ambapo ikapelekea watu kufa kwa maelfu. Ulimwengu mzima likiwemo shirika la afya duniani wakatuona sisi wabongo ni kituko.

Sasa Mchungaji Gwajima , yaani Tanzania haijajifunza na matukio ya nyuma inamlelea lea tu huyu Mhuni GWAJIMA na uhuni wake wa kukejeli chanjo ya COVID-99 hakika nawaambia watanzania watapukutika, serikali iendelee tu kumlealea.
 
Je, tukichanjwa hatutaambukizwa?

Je, tukichanjwa hatutawaambukiza wengine?

Je, ni nini madhara ya chanjo hizi kwa muda wa kati na mrefu?

Je, Mheshimiwa Rais si amesema chanjo ni hiari?

Mkiweza kujibu hayo maswali na majibu yenu yaka-make sense then hakuna atakayehangaika na Gwajima.
Ukiwa na mkuki na ngao utashambuliwa na Simba lakini ingalao utajijitetea

Ukiwa na mkuki na ngao Simba anaweza tu kukushambulia lakini utakuwa teyari teyari.

Vidudu vya corona siyo kama ukimwi ambavyo mpaka mugusune, na kuambukizana kwa majimaji ya mwilini, vidudu vya corana vinaelea hewani na vianambizwa kwa kuvuta hewa kwa hiyo ukichanja wewe uliyechanja utakuwa na kinga ile mwingine ambaye hajachanja atakuwa hana kinga yoyote kwa hiyo utamwambukiza ila wewe uliyechaja utabaki salama
 
Serikali ikiendelea kumchekea huyu Mhuni Mchungaji Gwajima yatajirudia yale yaliyotokea wakati wa vita vya majimaji wapiganaji walivyopotoshwa na Kinjikitile eti risasi zitageuka maji ambapo watu walipoteza maisha kwa malaki kwa ujinga wa mtu mmoja.

Hivi majuzi babu wa Loliondo kama Mchungaji Gwajima naye kawaminisha eti kaoteshwa dawa ya kutibu Magonjwa yote Sugu kwa kikombe watu wamemwamini kumbe ni uwongo mtupu matokeo yake watu wakaacha dozi zao ambapo ikapelekea watu kufa kwa maelfu. Ulimwengu mzima likiwemo shirika la afya duniani wakatuona sisi wabongo ni kituko.

Sasa Mchungaji Gwajima , yaani Tanzania haijajifunza na matukio ya nyuma inamlelea lea tu huyu Mhuni GWAJIMA na uhuni wake wa kukejeli chanjo ya COVID-99 hakika nawaambia watanzania watapukutika, serikali iendelee tu kumlealea.
Ww ni mpuuzii kama walivyoo wapuuzi wengine..haiwezekani uendelee kuiombea mabaya tz..na kuwatabiria vifo wa tanzania. Kwanza hujui hizi drama za covid zilivyoanza?
Hao hao wanaisema chanjo ni salama miez mitatu nyuma walikuwa wanaipinga kwa nguvu zote hadi mishipa inawatoka.
Leo unakuja kuwaambia tena chanjo ni salama
Wewe na hao wapuuzi wenzako wote ni wajinga na hamelewii chochote
 
Ukiwa na mkuki na ngao utashambuliwa na Simba lakini ingalao utajijitetea

Ukiwa na mkuki na ngao Simba anaweza tu kukushambulia lakini utakuwa teyari teyari.

Vidudu vya corona siyo kama ukimwi ambavyo mpaka mugusune, na kuambukizana kwa majimaji ya mwilini, vidudu vya corana vinaelea hewani na vianambizwa kwa kuvuta hewa kwa hiyo ukichanja wewe uliyechanja utakuwa na kinga ile mwingine ambaye hajachanja atakuwa hana kinga yoyote kwa hiyo utamwambukiza ila wewe uliyechaja utabaki salama
Utaambukizwa au hautaambukizwa?
 
Kinjikitile na babu wa loliondo ni wanafunzi na Gwagima ni mwalimu. Kudanganya unafufua na kukubaliwa sio mchezo. Anaingia kwenye siasa, ila ukidanganya tena hapa hutakubalika.
 
Ukiwa na mkuki na ngao utashambuliwa na Simba lakini ingalao utajijitetea

Ukiwa na mkuki na ngao Simba anaweza tu kukushambulia lakini utakuwa teyari teyari.

Vidudu vya corona siyo kama ukimwi ambavyo mpaka mugusune, na kuambukizana kwa majimaji ya mwilini, vidudu vya corana vinaelea hewani na vianambizwa kwa kuvuta hewa kwa hiyo ukichanja wewe uliyechanja utakuwa na kinga ile mwingine ambaye hajachanja atakuwa hana kinga yoyote kwa hiyo utamwambukiza ila wewe uliyechaja utabaki salama
Wamasai mnamatatizo sanaa..sasa habar za mkuki na ngao za nn kwenye suala la covid.
Ebu nenda kapike loishouroo hukoo, nazan ungesisitiza tu watz wakachanje na sio kumshambulia gwajima.
 
Ww ni mpuuzii kama walivyoo wapuuzi wengine..haiwezekani uendelee kuiombea mabaya tz..na kuwatabiria vifo wa tanzania. Kwanza hujui hizi drama za covid zilivyoanza?
Hao hao wanaisema chanjo ni salama miez mitatu nyuma walikuwa wanaipinga kwa nguvu zote hadi mishipa inawatoka.
Leo unakuja kuwaambia tena chanjo ni salama
Wewe na hao wapuuzi wenzako wote ni wajinga na hamelewii chochote
Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom