Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Naomba serikali iangalie namna nzuri ya kusaidia taifa katika hii hali inayozidi kulikumba taifa. Hawa wanawake wanateseka sana na wanakuwa cheap na matokeo yake wanazidi kunyanyasika.
Ikiwezekana hata kwa kuanzisha kampeni maalumu kuwahimiza wanaume wawaoe hawa akina mama waliozaa nao. Iwe endelevu mpaka tupate muitikio mzuri katika jamii.
Nchi ya Singapore inafanya vizuri katika hili eneo. Wanafahamu idadi yao na wanayo mikakati ya kuwasaidia kwa ajili ya kuhakikisha jamii salama.
SINGAPORE - The number of children born to single unwed mothers has averaged around 830 per year in the last five years, with the numbers coming down since 2013, said Minister of State for Social and Family Development Sun Xueling.
Ikiwezekana hata kwa kuanzisha kampeni maalumu kuwahimiza wanaume wawaoe hawa akina mama waliozaa nao. Iwe endelevu mpaka tupate muitikio mzuri katika jamii.
Nchi ya Singapore inafanya vizuri katika hili eneo. Wanafahamu idadi yao na wanayo mikakati ya kuwasaidia kwa ajili ya kuhakikisha jamii salama.
SINGAPORE - The number of children born to single unwed mothers has averaged around 830 per year in the last five years, with the numbers coming down since 2013, said Minister of State for Social and Family Development Sun Xueling.