Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Gazeti la mwananchi la leo linatupasha habari ya kuwa ushauri wa jaji Mkuu ambaye sasa ni mstaafu juu ya haki ya kuhoji Mahakama Kuu kuhusu matokeo ya kura ya uraisi yaliyotangazwa na NEC ilichakachuliwa na serikali............................
Kwa mtazamo wangu...........................
Swali ninalojiuliza ni kwa nini hizi hoja zinajitokeza sasa wakati jaji Mkuu mwenyewe kesha kustaafu na Chadema na Dr. Slaa wao kuingizwa mkenge juu ya katiba kuwazuia kuhoji matokeo ya Uraisi tafsiri ya mtaani ambayo haina mashiko ya kisheria ..............
Kwa mtazamo wangu...........................
Swali ninalojiuliza ni kwa nini hizi hoja zinajitokeza sasa wakati jaji Mkuu mwenyewe kesha kustaafu na Chadema na Dr. Slaa wao kuingizwa mkenge juu ya katiba kuwazuia kuhoji matokeo ya Uraisi tafsiri ya mtaani ambayo haina mashiko ya kisheria ..............