Serikali iliunganisha umeme kwa Shilingi 27,000 ili kupata watu wengi wa kukata tozo

Ndo mana alikuwa anasema mtanikumbuka alikuwa anajua Kuna watu hawana time na wanyonge
Inawezekana Mungu alimleta ili atuonyeshe nchi inaongozwaje..... Watu wa chini tujue kiongozi wetu anatakiwa aweje.....

Majitu mengine vision ni wao na familia zao Ila chuma ilikuwa vision take nchi na wanyonge.

Sikumuunga Sana mkono.... Nilimpa alama chache Ila naanza kuelewa Sasa.....

1. Mradi wa umeme usingekaa ujengwe

2. Reli mpya kabisa ingekuwa ndoto.

3. Treni kwenda Moshi na Arusha iliuwawa ili matajiri watumie masemi trela yao na mafuso ili kujimegea utajiri zaidi Ila chuma aliifufua na matajiri walikasirika Sana.

Na mambo mengine meeeeengi mno....
 
Ndege tunapigwa wa nje na wandani ya tundu.wale MATAGA tuendeleze mapambio mana sie hatukatwi iyo buku 2
 
Nyumba za vijijini mita zao hazijawa programmed kwenye system ya Kodi ya jengo. Waulize Kama nao wamekatwa Kodi ya jengo watakwambia hapana.
 
Namie nilikuwa nimewaza ivyo la 27k sema umeniwahi kulileta hapa
 
Reactions: rr4
Nyumba za vijijini mita zao hazijawa programmed kwenye system ya Kodi ya jengo. Waulize Kama nao wamekatwa Kodi ya jengo watakwambia hapana.
Sijalijua hili
 
Si uache kutumia umeme.

mnalalamika weeeee, lkn mkiambiwa muandamane hamtaki.

lipeni kodi ili tulipwe mshahara.

tunataka b700 kwanza kila mwezi
 
Si uache kutumia umeme.

mnalalamika weeeee, lkn mkiambiwa muandamane hamtaki.

lipeni kodi ili tulipwe mshahara.

tunataka b700 kwanza kila mwezi
Wewe ndo bure kabisa, unafikiri Kama hutumii umeme ndo hulipi Kodi ya jengo? Labda kwa watu mliopanga Kama wewe ndo usipptumia umeme hulipi Kodi ya jengo.
Hii Kodi siyo mpya Bali imeunganishwa kwenye umeme ili ikusanywe kwa urahisi hata Mimi nilikuwa naona tabu kwenda halmashauri kulipa Sasa usumbufu hakuna tena.
 
Upo sahihi 100%
Hivi hadi sasa Tanesco wana mita ngapi za Luku zinazofanya kazi?
 
Too late.
Ninge.... Huwa haisaidiii.
Tuliendelea kuaminishwa HAFAI wakitumia pesa zao kwenye media na matajiri wa nje.
Mwisho tukahujumiwa . Roho yake ikacha mwili.

Acheni Tunywe. Tozo ya kuchikuchi otaoo inakuja
 
Ndio shida yetu kuu na Hawa awamu ya nne waliodandia tren hii, maana ni mabingwa wa ku-divert funds.

Na hapa Sasa kwa mazuri au kwa mabaya ndio watu watakapomkumbuka mwenda zake.
Kwa nini unahisi fedha zitaibiwa? Kwa nini usisubiri mwakani uulizie fedha walivyoahidi kutumika zimetumika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…