Serikali imchukulie hatua Baba Levo kwa Kuwadhalilisha Walimu

Serikali imchukulie hatua Baba Levo kwa Kuwadhalilisha Walimu

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983


Wasalamu wakuu.

Kuna video naona inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha mtu anayejiita baba levo akidhihaki na kuwafedhehesha walimu wetu wa Tanzania.

Maneno aliyozungumza kupitia chombo cha habari achofanyia kazi si maneno mazuri hata kama yana kweli au si kweli kwani hayana utafiti labda kama ana utafiti aliyofanya wa kisomi aitowe ili serikali ifanyie kazi.

Maneno yale ni kejeli na dharau kubwa kwa walimu wetu.

Ikumbukwe kwamba walimu hao ni waajirawa wa serikali na wengine sekta binafsi.

Kuwadhalilisha walimu vile ni sawa na kuwatukana walimu kupitia chombo cha habari kitu ambacho si sawa kumdhalilisha mtu kwa hali yoyote aliyokuwa nayo.

Ili iwe fundisho kwa wanaojiita waandishi wa habari uchwara kama alivyo huyo baba levo, TAMISEMI, WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA, WIZARA YA HABARI, TCRA pamoja na vyama vinavyotetea haki za walimu wampeleke mahakamani baba levo kwa kesi ya kuwadhalilisha walimu na kuwatoa utu.

Kwanini nasisitiza juu ya baba levo kuchukuliwa hatua za kisheria pamoja na chombo anachofanyia kazi, dharau hizi zinaweza leta mtazamo hasi kwa walimu wetu wanaotufundishia watoto wetu na hata kuwavunja moyo kwa kazi ngumu ya kuwasidia watoto wetu mashuleni wanayoifanya.

Masikitikio yangu sijaona chombo chochote hadi muda huu kilichokemea matamshi, dharau, kebehi na udhalilishaji huo kwa walimu wetu.

Wito pia kwa TCRA fatilieni kwa ukaribu hili wimbi la redio zinazoibuka siku hizi hazina watangazaji waliosoma vyuoni bali zinaokota vijana wasiokuwa na taaluma bali waropokaji na kuwafanya ndiyo watangazaji.
 
View attachment 3005746

Wasalamu wakuu.

Kuna video naona inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha mtu anayejiita baba levo akidhihaki na kuwafedhehesha walimu wetu wa Tanzania.

Maneno aliyozungumza kupitia chombo cha habari achofanyia kazi si maneno mazuri hata kama yana kweli au si kweli kwani hayana utafiti labda kama ana utafiti aliyofanya wa kisomi aitowe ili serikali ifanyie kazi.

Maneno yale ni kejeli na dharau kubwa kwa walimu wetu.

Ikumbukwe kwamba walimu hao ni waajirawa wa serikali na wengine sekta binafsi.

Kuwadhalilisha walimu vile ni sawa na kuwatukana walimu kupitia chombo cha habari kitu ambacho si sawa kumdhalilisha mtu kwa hali yoyote aliyokuwa nayo.

Ili iwe fundisho kwa wanaojiita waandishi wa habari uchwara kama alivyo huyo baba levo, TAMISEMI, WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA, WIZARA YA HABARI, TCRA pamoja na vyama vinavyotetea haki za walimu wampeleke mahakamani baba levo kwa kesi ya kuwadhalilisha walimu na kuwatoa utu.

Kwanini nasisitiza juu ya baba levo kuchukuliwa hatua za kisheria pamoja na chombo anachofanyia kazi, dharau hizi zinaweza leta mtazamo hasi kwa walimu wetu wanaotufundishia watoto wetu na hata kuwavunja moyo kwa kazi ngumu ya kuwasidia watoto wetu mashuleni wanayoifanya.

Masikitikio yangu sijaona chombo chochote hadi muda huu kilichokemea matamshi, dharau, kebehi na udhalilishaji huo kwa walimu wetu.

Wito pia kwa TCRA fatilieni kwa ukaribu hili wimbi la redio zinazoibuka siku hizi hazina watangazaji waliosoma vyuoni bali zinaokota vijana wasiokuwa na taaluma bali waropokaji na kuwafanya ndiyo watangazaji.
Umesema ukweli kabisa! Vyombo vingi vya habari vinaokota wahuni huko mtaani na kuwaajiri kama watangazaji!
 
Umeandika mengi sana, ila nadhanj kabla hujamuhukumu ungeomba kama ana utafiti kwanza. Sasa hujui kama ana tafiti na unamhukumu.
 
Hapa sijaona matusi.........wala dharau ....hivi kwa nini sisi watu weusi hatupendi kuambiwa ukweli? Hatupendi ukweli kwanini.....? Ndio yale yale ya makonda anadhalilisha wanawake...............msiwe hivyo
 
View attachment 3005746

Wasalamu wakuu.

Kuna video naona inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha mtu anayejiita baba levo akidhihaki na kuwafedhehesha walimu wetu wa Tanzania.

Maneno aliyozungumza kupitia chombo cha habari achofanyia kazi si maneno mazuri hata kama yana kweli au si kweli kwani hayana utafiti labda kama ana utafiti aliyofanya wa kisomi aitowe ili serikali ifanyie kazi.

Maneno yale ni kejeli na dharau kubwa kwa walimu wetu.

Ikumbukwe kwamba walimu hao ni waajirawa wa serikali na wengine sekta binafsi.

Kuwadhalilisha walimu vile ni sawa na kuwatukana walimu kupitia chombo cha habari kitu ambacho si sawa kumdhalilisha mtu kwa hali yoyote aliyokuwa nayo.

Ili iwe fundisho kwa wanaojiita waandishi wa habari uchwara kama alivyo huyo baba levo, TAMISEMI, WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA, WIZARA YA HABARI, TCRA pamoja na vyama vinavyotetea haki za walimu wampeleke mahakamani baba levo kwa kesi ya kuwadhalilisha walimu na kuwatoa utu.

Kwanini nasisitiza juu ya baba levo kuchukuliwa hatua za kisheria pamoja na chombo anachofanyia kazi, dharau hizi zinaweza leta mtazamo hasi kwa walimu wetu wanaotufundishia watoto wetu na hata kuwavunja moyo kwa kazi ngumu ya kuwasidia watoto wetu mashuleni wanayoifanya.

Masikitikio yangu sijaona chombo chochote hadi muda huu kilichokemea matamshi, dharau, kebehi na udhalilishaji huo kwa walimu wetu.

Wito pia kwa TCRA fatilieni kwa ukaribu hili wimbi la redio zinazoibuka siku hizi hazina watangazaji waliosoma vyuoni bali zinaokota vijana wasiokuwa na taaluma bali waropokaji na kuwafanya ndiyo watangazaji.
BABA LEVO NI CHAWA Kudhalilisha ndio kazi yake WACHA AENDELEE KUWADHALILISHA
 
IMG-20240427-WA0924.jpg
 
Waalim wengi wanajitahidi kusomesha watoto wao, japo watoto wenyewe ndo hivyo
 
View attachment 3005746

Wasalamu wakuu.

Kuna video naona inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha mtu anayejiita baba levo akidhihaki na kuwafedhehesha walimu wetu wa Tanzania.

Maneno aliyozungumza kupitia chombo cha habari achofanyia kazi si maneno mazuri hata kama yana kweli au si kweli kwani hayana utafiti labda kama ana utafiti aliyofanya wa kisomi aitowe ili serikali ifanyie kazi.

Maneno yale ni kejeli na dharau kubwa kwa walimu wetu.

Ikumbukwe kwamba walimu hao ni waajirawa wa serikali na wengine sekta binafsi.

Kuwadhalilisha walimu vile ni sawa na kuwatukana walimu kupitia chombo cha habari kitu ambacho si sawa kumdhalilisha mtu kwa hali yoyote aliyokuwa nayo.

Ili iwe fundisho kwa wanaojiita waandishi wa habari uchwara kama alivyo huyo baba levo, TAMISEMI, WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA, WIZARA YA HABARI, TCRA pamoja na vyama vinavyotetea haki za walimu wampeleke mahakamani baba levo kwa kesi ya kuwadhalilisha walimu na kuwatoa utu.

Kwanini nasisitiza juu ya baba levo kuchukuliwa hatua za kisheria pamoja na chombo anachofanyia kazi, dharau hizi zinaweza leta mtazamo hasi kwa walimu wetu wanaotufundishia watoto wetu na hata kuwavunja moyo kwa kazi ngumu ya kuwasidia watoto wetu mashuleni wanayoifanya.

Masikitikio yangu sijaona chombo chochote hadi muda huu kilichokemea matamshi, dharau, kebehi na udhalilishaji huo kwa walimu wetu.

Wito pia kwa TCRA fatilieni kwa ukaribu hili wimbi la redio zinazoibuka siku hizi hazina watangazaji waliosoma vyuoni bali zinaokota vijana wasiokuwa na taaluma bali waropokaji na kuwafanya ndiyo watangazaji.
Ukweli ni kwamba kwa kazi yoyote ya serikali ukiondoa hawa viongozi na ma CEO wa mashirika, ambao wanakula mishahara hadi ya milion 30, huwezi kutajirika kwa kuajiriwa isipokuwa mali na pesa waliyonayo ni ufisadi na wizi wa mali za umma.
 
Mtoa mada umeisikiliza hiyo video au umesimuliwa tu kwenye kijiwe cha alkasusi?
 
View attachment 3005746

Wasalamu wakuu.

Kuna video naona inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha mtu anayejiita baba levo akidhihaki na kuwafedhehesha walimu wetu wa Tanzania.

Maneno aliyozungumza kupitia chombo cha habari achofanyia kazi si maneno mazuri hata kama yana kweli au si kweli kwani hayana utafiti labda kama ana utafiti aliyofanya wa kisomi aitowe ili serikali ifanyie kazi.

Maneno yale ni kejeli na dharau kubwa kwa walimu wetu.

Ikumbukwe kwamba walimu hao ni waajirawa wa serikali na wengine sekta binafsi.

Kuwadhalilisha walimu vile ni sawa na kuwatukana walimu kupitia chombo cha habari kitu ambacho si sawa kumdhalilisha mtu kwa hali yoyote aliyokuwa nayo.

Ili iwe fundisho kwa wanaojiita waandishi wa habari uchwara kama alivyo huyo baba levo, TAMISEMI, WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA, WIZARA YA HABARI, TCRA pamoja na vyama vinavyotetea haki za walimu wampeleke mahakamani baba levo kwa kesi ya kuwadhalilisha walimu na kuwatoa utu.

Kwanini nasisitiza juu ya baba levo kuchukuliwa hatua za kisheria pamoja na chombo anachofanyia kazi, dharau hizi zinaweza leta mtazamo hasi kwa walimu wetu wanaotufundishia watoto wetu na hata kuwavunja moyo kwa kazi ngumu ya kuwasidia watoto wetu mashuleni wanayoifanya.

Masikitikio yangu sijaona chombo chochote hadi muda huu kilichokemea matamshi, dharau, kebehi na udhalilishaji huo kwa walimu wetu.

Wito pia kwa TCRA fatilieni kwa ukaribu hili wimbi la redio zinazoibuka siku hizi hazina watangazaji waliosoma vyuoni bali zinaokota vijana wasiokuwa na taaluma bali waropokaji na kuwafanya ndiyo watangazaji.
Msiambiwe ukweli?
 
View attachment 3005746

Wasalamu wakuu.

Kuna video naona inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha mtu anayejiita baba levo akidhihaki na kuwafedhehesha walimu wetu wa Tanzania.

Maneno aliyozungumza kupitia chombo cha habari achofanyia kazi si maneno mazuri hata kama yana kweli au si kweli kwani hayana utafiti labda kama ana utafiti aliyofanya wa kisomi aitowe ili serikali ifanyie kazi.

Maneno yale ni kejeli na dharau kubwa kwa walimu wetu.

Ikumbukwe kwamba walimu hao ni waajirawa wa serikali na wengine sekta binafsi.

Kuwadhalilisha walimu vile ni sawa na kuwatukana walimu kupitia chombo cha habari kitu ambacho si sawa kumdhalilisha mtu kwa hali yoyote aliyokuwa nayo.

Ili iwe fundisho kwa wanaojiita waandishi wa habari uchwara kama alivyo huyo baba levo, TAMISEMI, WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA, WIZARA YA HABARI, TCRA pamoja na vyama vinavyotetea haki za walimu wampeleke mahakamani baba levo kwa kesi ya kuwadhalilisha walimu na kuwatoa utu.

Kwanini nasisitiza juu ya baba levo kuchukuliwa hatua za kisheria pamoja na chombo anachofanyia kazi, dharau hizi zinaweza leta mtazamo hasi kwa walimu wetu wanaotufundishia watoto wetu na hata kuwavunja moyo kwa kazi ngumu ya kuwasidia watoto wetu mashuleni wanayoifanya.

Masikitikio yangu sijaona chombo chochote hadi muda huu kilichokemea matamshi, dharau, kebehi na udhalilishaji huo kwa walimu wetu.

Wito pia kwa TCRA fatilieni kwa ukaribu hili wimbi la redio zinazoibuka siku hizi hazina watangazaji waliosoma vyuoni bali zinaokota vijana wasiokuwa na taaluma bali waropokaji na kuwafanya ndiyo watangazaji.
Simuungi mkono ila hoja hupingwa na hoja vipi? Unaweza kumpinga kwa hoja na mifano hai?
 
Back
Top Bottom