Serikali imebariki majengo ya makazi Kariakoo kugeuzwa kuwa magodauni bubu ya kuhifadhi mizigo inayotoka kwenye makontena bandarini?

Serikali imebariki majengo ya makazi Kariakoo kugeuzwa kuwa magodauni bubu ya kuhifadhi mizigo inayotoka kwenye makontena bandarini?

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Apartments nyingi za maghorofa ya kariakoo yamegeuzwa kuwa magodauni kwa ajili ya kuhifadhia mizigo ya makontena pindi inapotoka bandarini.

Kunakuta Apartment moja inajazwa mzigo wa makontena 3 hadi 5 ya 40 ft. kitendo kinachopelekea uzito mkubwa juu ya maghorofa.

Hizi apartment s zimesajiliwa kwa ajili ya makazi ila sasa hv zinabadilishwa matumizi na kuwa magodauni ya wafanyabiashara ambao wamekuwa wakijaza mizigo juu bila ya kujali uzito na uwezo wa hizo apartments kubeba mizigo.

Je, serikali imebariki yote haya yanayoendelea pale kariakoo?
 
Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao, Tanzania inajengwa na Watanzania. Unadhani haya majumba tunajenga pesa tunachimba ardhini?
 
Sasa kama huko insta watu wanakomenti Bashite aje kuwa rais...!! Unategemea nini?

Nchi hii shida ni WATANZANIA wenyewe tunawapa mamlaka watu wa hovyo .
 
Sasa mkinga anatoka vijijini huko na hirizi ya kutafuta hela atajua hata structural design ya majengo ?
 
Sasa kama huko insta watu wanakomenti Bashite aje kuwa rais...!! Unategemea nini?

Nchi hii shida ni WATANZANIA wenyewe tunawapa mamlaka watu wa hovyo .
Umesema Bashe au Bashite Koromije? Rudisha
 
Back
Top Bottom