Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
kabisaKiuhalisia matamko hayatekelezeki
hahahaaaaaaaaWewe kaa kimya,mtoto wa mama/kula kulala,hujui hata chumvi inauzwaje,sukari ndiyo utajua bei yake?
Nakala kwa Waziri wa viwanda na biasharaMambo mengine bwana,ukifwatilia huko nje zinakotengenezwa barakoa zimepanda bei + usafiri wa ndege kuleta hapa nao imekuwa ishu kg moja kwasasa wanasafirisha kwa dola 14-18 napo kupata nafasi ni ishu nyingine haya huyo mfanyabiashara atakaeuza bidhaa kwa bei ya hasara nani?
Sent using Jamii Forums mobile app