Serikali imefikia wapi suala la mabucha ya nyamapori?

Serikali imefikia wapi suala la mabucha ya nyamapori?

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Serikali ilitoa ruhusa kuwa mtu /watu wanaotaka kuanzisha mabucha ya nyama pori ni ruhuksa mradi wamefuata taratibu zilizowekwa na Serikali. Tangu agizo hilo litolewe watu wengi wamekarabati maeneo yanayotakiwa kuwepo kwa mabucha hayo hasa hapa Mwanza lakini sasa yapata miezi mitano hakuna nyama ya pori inayouzwa kwenye mabucha hayo. Kila ukiwauliza wanakuambia kuwa kule juu utaratibu bado.

Sasa tujiulize, je hii ilikuwa danganya toto?.
 
Aisee nilishaulizia hii kitu mpaka nimechoka mikoa yote wala hakuna dalili
 
Nyamapori watu tunataka iliyokaushwa huko kutumia mavi ya tembo na mpingo!

Hii fresh wauzie wabunge.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Serikali ilitoa ruhusa kuwa mtu /watu wanaotaka kuanzisha mabucha ya nyama pori ni ruhuksa mradi wamefuata taratibu zilizowekwa na Serikali. Tangu agizo hilo litolewe watu wengi wamekarabati maeneo yanayotakiwa kuwepo kwa mabucha hayo hasa hapa Mwanza lakini sasa yapata miezi mitano hakuna nyama ya pori inayouzwa kwenye mabucha hayo. Kila ukiwauliza wanakuambia kuwa kule juu utaratibu bado.

Sasa tujiulize, je hii ilikuwa danganya toto?.
Mkuu tuzifuate tuu hukohuko...

Hizo zilikuwa ni kiki tu za Jiwe...

Hivi watu million 60 uwalishe nyati... Is it possible.

Kiki za Hovyooo
 
Walifaa waende namibia 🇳🇦 kujifunza
Nadhani ingefaa serikali ikaachia sekta binafsi kuwekeza/biashara. Ingehamasisha kwenye uwekezaji wa wild ranches binafsi huko ndio sehemu kubwa ingetoka nyama. Ile mbinu ya mwendazake kutoka game reserves haikua sustainable
 
Walifaa waende namibia [emoji1176] kujifunza
Nadhani ingefaa serikali ikaachia sekta binafsi kuwekeza/biashara. Ingehamasisha kwenye uwekezaji wa wild ranches binafsi huko ndio sehemu kubwa ingetoka nyama. Ile mbinu ya mwendazake kutoka game reserves haikua sustainable
Binafsi nilibahatika kula nyama ya mamba kwa mara ya kwanza huko.. hii ilinipa kumbukumbu ya kipekee
 
Back
Top Bottom