Mwenye kujua juu ya suala la certificate ya ualimu,maana hadi mwaka jana waliopata division 4 ya point 27 alikuwa na sifa ya kusomea ualimu wa shule ya msingi,mwaka huu hadi sasa sijaona tangazo lolote kuhusu suala hili.Nawaombeni mwenye taarifa kama certificate ya ualimu imefutwa au bado ipo,na kama ipo inasomwa kwa sifa gani ya ufaulu.