Mzee Wangu unajua wafanyakazi wa serikali hawajalipwa leo mwezi wa pili, sasa hiyo nyongeza inaongezewa wapi?
Serikali haina hela ilikuwa inasubiri bajeti ipite kwanza, baada ya ku-overspend bajeti iliyopita, yaani jamani hata hizi nazo zinatakiwa kuwa data? Pleasee!
ile katuni ya ndege kwa kweli ina ukweli mkubwa sana. HIvi EL na wenzake walio kwenye ndege wana wasiwasi wa watu kukosa mishahara? Hawa watanzania waliomchagua JK kwa asilimia 80 kweli wanaweza kumgomea? Sikumbuki kati ya Mwinyi na Mkapa ni nani kati yao alikabiliwa na mgomo wa wafanyakazi mwaka wa pili wa utawala wake.. je yawezekana lile fungate limefikia kikomo chake?
Serikali imepanga kupandisha mishahara mipya 20007/2008 ya watumishi wa umma kwa kiwango cha shilingi 5,000 mpaka 9,000 tu kwa kila mtumishi, wakati huo huo vyama vya wafanyakazi na watumishi wanajiandaa kwa mgomo mkali nchi nzima kwa muda usiyo julikama kutokana na ukali wa maisha ,mwanye habari nyeti zaidi aziweke hapa.
asanteni