Serikali imejipanga vipi kukabiliana na ukosefu wa misaada iliyozuiwa na Marekani?

Serikali imejipanga vipi kukabiliana na ukosefu wa misaada iliyozuiwa na Marekani?

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Nchi yetu ya TANZANIA, watanzania, na serikali kupitia wizara ya afya, tumejipanga vipi ama tuna mipango ipi na gepu lililopo ama litarajiwalo kutokea la kukosa ama kutopokea tena misaada kutoka marekani kwa kipindi angalau miaka minne ya uongozi wa Mwamba Donald Trump ?

Je Sasa ndio tuseme tumeamka rasmi kutoka usingizini? Usingizi wa starehe na pono ? Je ndio Sasa tutaanza kupunguza matumizi ya anasa na yasiyo na ulazima ili fedha zote ziende Sasa kuwasaidia wananchi haswa kwenye sekta ya afya na sekta nyingine?

Je Sasa tutaacha ubadhirifu wa mali za umma, ubadhirifu wa misaada hio ( teni pasenti) ili kusudi Sasa fedha zitokanazo na mapato ya ndani zitumike kama zilivyokusudiwa kwa wananchi na si mapapa wachache?
 
Nchi yetu ya TANZANIA, watanzania, na serikali kupitia wizara ya afya, tumejipanga vipi ama tuna mipango ipi na gepu lililopo ama litarajiwalo kutokea la kukosa ama kutopokea tena misaada kutoka marekani kwa kipindi angalau miaka minne ya uongozi wa Mwamba Donald Trump ?

Je Sasa ndio tuseme tumeamka rasmi kutoka usingizini? Usingizi wa starehe na pono ? Je ndio Sasa tutaanza kupunguza matumizi ya anasa na yasiyo na ulazima ili fedha zote ziende Sasa kuwasaidia wananchi haswa kwenye sekta ya afya na sekta nyingine?

Je Sasa tutaacha ubadhirifu wa mali za umma, ubadhirifu wa misaada hio ( teni pasenti) ili kusudi Sasa fedha zitokanazo na mapato ya ndani zitumike kama zilivyokusudiwa kwa wananchi na si mapapa wachache?
Tanzania ni Taifa huru lenye mamlaka kamili kiuchmi, kisiasa, kijamii na linalojitegeamea kwa kila kitu.

hakuna Taifa lililowahi kulazimishwa na Tanzania kutoa misaada katika nyanja yoyote ile. Atakae jiskia kusaidia Tanzania ni hiyari yake kufanya hivyo au vinginevyo.

Kama Taifa,
hasa ukizingatia malezo ya waziri mkuu juzi kwamba, Tanzania tumejipanga vizuri sana kujitegemea na kuendesha nchi yetu kwa kutumia rasilimali zetu.

Tayari kila idara za kisekta mathalani sekta ya afya, wameshawahakikishia wananchi kwamba madawa na vifaa tiba hususani kwaajili ya vvu na kifua kikuu vipo vya kutosha 🐒
 
Kwanini wakupe taarifa yanamna walivyojipanga mkuu?
Tuthread nato🙌
 
Back
Top Bottom