nyasaland boy
Member
- May 25, 2013
- 23
- 2
habar wana Jf, hivi serikali imeweka mikakati gani kama sio kunusuru angalau kuondoa kero ambayo imejitokeza mwaka huu kwa form 6 waliomaliza mwaka huu?nahc something went wrong in making decisions, we need to teach our leaders on how they at least brainstorm themselves before bringing challengable policies to the society.Katika mfumo huu mpya, sijaona matokeo yanacheleweshwa mpaka mwenzi huu near june labda hawa gwandaz watuambie kwamba mfumo unarudishwa wa zamani!