#COVID19 Serikali imejipangaje kwa kadi feki za chanjo ya Corona?

Kama wameshindwa tu kujuwa ubora wa hizo chanjo, unazan wataweza kujua ip feki, ip og? hil jambo linaendeshwa kisiasa, yaan wanasiasa ndyo wamekwapua jukumu la madaktari na kujikuta wasemaji wakuu wa tiba&chanjo, usitegemee lolote lile zaid ya siasa zao za kuwafariji in positive way only, wao wanatetea matumbo yao tu huku wataalamu wakilazimishwa kufuata maneno ya hawa wanasiasa na kujikuta nao wanakuwa watos matamko kama ya wanasiasa ya kupromote chanjo bila kuhoji wala kuitest ubora... ushenz huu utaicost hii nchi pale watu watakapoanza kupukutika kama mende , subirini tuu, ipo siku wataelewa tu
 
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Umesema vizuri kuhusu chanjo ya manjano kwamba vyeti vyake vinafojiwa,Nikuulize je,uliwahi kuishauri serikali kudhibiti uchakachuaji wa chanjo hiyo?
Ninachokiona hapa kwenye ushauri wako ni roho mbaya a.k.a uchawi kwamba kwa kuwa
umechanjwa watu wote walazimishwe ile endapo chanjo ina madhara basi watu wote wadhurike.
Hutafanikiwa maana Mungu hajawahi kuangamiza watu wote,lazima kuna watakaopona.

Nasema hivyo kwa sababu,kama ulichanjwa chanjo ya manjano,hata mimi nimechanjwa
ila hukuwahi kuishauri serikali ijipange kudhibiti wanaofoji,ni nini kinachokusukuma
kwenye chanjo hii ya corona? Tulia uhai ni hiari ndo maana watu wengine na afya zao wanajipiga risasi.
tusilazimishane kuishi,maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu hangaika na ya kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…