Serikali imekamilisha ujenzi wa kituo Cha kibiashara na usafirishaji cha Afrika Mashariki - Ubungo

Serikali imekamilisha ujenzi wa kituo Cha kibiashara na usafirishaji cha Afrika Mashariki - Ubungo

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Serikali imekamilisha ujenzi wa mradi wa kituo kikubwa Cha kibiashara na usafirishaji cha Afrika Mashariki kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam.

Akizungumza Leo Machi 7, 2025 na waandishi wa Habari Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. @lazarotwange amesema kituo hicho kimetumia zaidi ya Bilioni 303 na kuongeza kuwa kukamilika Kwa kituo hicho kutaleta mapinduzi makubwa ya kibiashara Nchini Tanzania.

Aidha ameongeza kuwa zaidi ya Shilingi Bilioni 5 zimewekwa kwaajili ya Shule maalum ya Wasichana ya Dar es salaam Girls kwaajili ya kuwatengezea Mazingira mazuri wanafunzi hao.

 
Serikali imekamilisha ujenzi wa mradi wa kituo kikubwa Cha kibiashara na usafirishaji cha Afrika Mashariki kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam.

Akizungumza Leo Machi 7, 2025 na waandishi wa Habari Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. @lazarotwange amesema kituo hicho kimetumia zaidi ya Bilioni 303 na kuongeza kuwa kukamilika Kwa kituo hicho kutaleta mapinduzi makubwa ya kibiashara Nchini Tanzania.

Aidha ameongeza kuwa zaidi ya Shilingi Bilioni 5 zimewekwa kwaajili ya Shule maalum ya Wasichana ya Dar es salaam Girls kwaajili ya kuwatengezea Mazingira mazuri wanafunzi hao.

View attachment 3262869
Serikal au pesa ya wawekezaji... uhongo huu ndo unarudisha nyuma taifa..Mchina kaweka pesa yake pale..km ilivyo mliman city..33yrs .sasa uhongo huongo...non sense
 
Mnamruhusu Mchina mpaka sebuleni ilihali watu wenu wachuuzi na Mchina huko china ni producer wa kila kitu.

Kumruhusu Mchina mpaka mlangoni ni kuwafanya mamilioni ya Watanzania kuwa masikini maana trading yooote itafanywa na wachina Kwa kuleta bidhaa za kutosha kutoka kwa wazarishaji wa china.

Tunawaza kushinda uchaguzi na kutawala na sio kuumiza kichwa nini kifanyika watanzania wawe productive na kuacha uchuuzi wa bidhaa za wachina na wahindi.
 
Mnamruhusu Mchina mpaka sebuleni ilihali watu wenu wachuuzi na Mchina huko china ni producer wa kila kitu.

Kumruhusu Mchina mpaka mlangoni ni kuwafanya mamilioni ya Watanzania kuwa masikini maana trading yooote itafanywa na wachina Kwa kuleta bidhaa za kutosha kutoka kwa wazarishaji wa china.

Tunawaza kushinda uchaguzi na kutawala na sio kuumiza kichwa nini kifanyika watanzania wawe productive na kuacha uchuuzi wa bidhaa za wachina na wahindi.
Bora waje wawekeze namna hii ya Mamalls. Kuliko kuwafata wenyew china na kuja kuuza tu products bila kodi stahiki
 
Tunashangilia kuwa mateka wa Mchina na watu wetu kuwa masikini wanaolima vijijini huko na jembe la mkono wakinunua kila bidhaa kutoka kwa Mchina.

Dunia iko kwenye aina nyingine ya ukoloni ambao inabidi utumie akili sana kupambana nao.
Mchina Yuko kwenye harakati za kuwapumbaza waAfrica Kwa kuwaletea kila kitu na kuligeuzq bara la Africa kuwa mateka wake kibiashara huku yeye akiuza kila kitu na Mwafrica hana cha kuuza china matokeo yake tunabaki kusubiri kila supply kutoka china na sio kuwaza kuproduce na kulijaza soko la ndani wenyewe.
 
Kwenye serikali ya mama au huu mradi Mwijaku ana nafasi gani?
 
Back
Top Bottom