Serikali imemwonea Kiboko ya Wachawi

Serikali imemwonea Kiboko ya Wachawi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hoja 3 zilizowekwa kwenye barua ya kufungwa kwa Huduma ya Kiboko ya Wachawi ni hoja mfu.

Binafsi nachukia na kupata hasira ninapoona mtu anafanya kazi ya Kristo kwa kuwalipisha watu Senti, kuwauzia watu vifaa vya kiroho au kusisitiza sadaka za kufunguliwa, sadaka za kubarikiwa, sadaka za kujenga madhabahu n.k.

Manabii, mitume, wachungaji na walimu maaruru karibu wote hapa Tanzania wanachukua kiingilio cha kuwaona.
Leo hii huwezi kumwona Mwakasege Ofisni kwake kama wewe ni kapuku au sio mtu maarufu . Kama sio mfanyabiashara maarufu au mwanasiasa huwezi kumwona Mwamposa ofisni kwake eti mmekaa wawili ndani akuombee , sahau.

Kitakachokupa kibali kuonana ofisni kwao watumishi maarufu wote ni aidha uwe mwanasiasa maarufu, uwe mfanyabiashara maarufu au utoe pesa za kiingilio.

Mwanasiasa ataruhusiwa kwakuwa ameshikia makali, mfanyabiashara ataingia bure lakini atatoa pesa nyingi. Maskini huwezi kuingizwa ofisni bure maana utaishia kutoa sadaka ya buku 5 ambayo hata lunch haitoshi. Hivyo jitafute, kama kuuza shamba uza utoe angalau laki 2 , 3 ndio utaruhusiwa kuingia.

Hoja ya kuchonganisha watu hiyo pia kaonewa.

Iwe uongo au kweli. Serikali haina kupimo cha mambo ya rohoni.

Je, katika dini kuu 3 hapa nchini zote ni za MUNGU?

Hizo dini pia zina madhehebu, je, yote ni ya MUNGU?

Maadamu serikali imeamua kutoa uhuru wa kuabudu waache watu wakaliwe wapendako.

Mwamposa Moshi alisababisha watu kufa kizembe wakati wakikanyaga wese mbona aliachwa?

Je, kiboko ya wachawi amefanya kosa kubwa zaidi kosa lile la Mwamposa Moshi?

Serikali ichague moja. Kufunga shughuli zote za dini au kuruhusu watu waabudu wapendavyo ilimradi tu wasivunje Sheria za nchi.
 
Binafsi kile kitendo cha kufanya shughuli zake kama waganga wachonganishi sikikubali hata iweje.
Mtu anasema baba yako ndo kakuloga.
Mama yako ndo kakuloga
Unataka nimuue mama yako kisa kakulogaaa.
KWa nchi yenye utawala wa kisheria hakikubaliki na hakivumiliki kamwe.

Mungu hajatoelekeza hvyo
 
Binafsi kile kitendo cha kufanya shughuli zake kama waganga wachonganishi sikikubali hata iweje.
Mtu anasema baba yako ndo kakuloga.
Mama yako ndo kakuloga
Unataka nimuue mama yako kisa kakulogaaa.
KWa nchi yenye utawala wa kisheria hakikubaliki na hakivumiliki kamwe.

Mungu hajatoelekeza hvyo
Yale maigizo wanaofanyiwa si wanayafurahia!!!
Nyie watu wa nje mnayapata kwa unaa wenu tu. Hayawahusu
 
Hoja 3 zilizowekwa kwenye barua ya kufungwa kwa Huduma ya Kiboko ya Wachawi ni hoja mfu.
Binafsi nachukia na kupata hasira ninapoona mtu anafanya kazi ya Kristo kwa kuwalipisha watu Senti, kuwauzia watu vifaa vya kiroho au kusisitiza sadaka za kufunguliwa, sadaka za kubarikiwa, sadaka za kujenga madhabahu n.k.
Manabii, mitume, wachungaji na walimu maaruru karibu wote hapa Tanzania wanachukua kiingilio cha kuwaona.
Leo hii huwezi kumwona Mwakasege Ofisni kwake kama wewe ni kapuku au sio mtu maarufu . Kama sio mfanyabiashara maarufu au mwanasiasa huwezi kumwona Mwamposa ofisni kwake eti mmekaa wawili ndani akuombee , sahau.
Kitakachokupa kibali kuonana ofisni kwao watumishi maarufu wote ni aidha uwe mwanasiasa maarufu, uwe mfanyabiashara maarufu au utoe pesa za kiingilio.
Mwanasiasa ataruhusiwa kwakuwa ameshikia makali, mfanyabiashara ataingia bure lakini atatoa pesa nyingi. Maskini huwezi kuingizwa ofisni bure maana utaishia kutoa sadaka ya buku 5 ambayo hata lunch haitoshi. Hivyo jitafute, kama kuuza shamba uza utoe angalau laki 2 , 3 ndio utaruhusiwa kuingia.
Hoja ya kuchonganisha watu hiyo pia kaonewa.
Iwe uongo au kweli. Serikali haina kupimo cha mambo ya rohoni.
Je, katika dini kuu 3 hapa nchini zote ni za MUNGU?
Hizo dini pia zina madhehebu, je, yote ni ya MUNGU?
Maadamu serikali imeamua kutoa uhuru wa kuabudu waache watu wakaliwe wapendako.
Mwamposa Moshi alisababisha watu kufa kizembe wakati wakikanyaga wese mbona aliachwa?
Je, kiboko ya wachawi amefanya kosa kubwa zaidi kosa lile la Mwamposa Moshi?
Serikali ichague moja. Kufunga shughuli zote za dini au kuruhusu watu waabudu wapendavyo ilimradi tu wasivunje Sheria za nchi.
Mada inahusu Kiboko ya wachawi, lakini umewazungumzia tu akina Mwamposa, Mwakasege.

Hujasema kiboko ya wachawi ni nani na anahusika na nini.
 
Hoja 3 zilizowekwa kwenye barua ya kufungwa kwa Huduma ya Kiboko ya Wachawi ni hoja mfu.
Binafsi nachukia na kupata hasira ninapoona mtu anafanya kazi ya Kristo kwa kuwalipisha watu Senti, kuwauzia watu vifaa vya kiroho au kusisitiza sadaka za kufunguliwa, sadaka za kubarikiwa, sadaka za kujenga madhabahu n.k.
Manabii, mitume, wachungaji na walimu maaruru karibu wote hapa Tanzania wanachukua kiingilio cha kuwaona.
Leo hii huwezi kumwona Mwakasege Ofisni kwake kama wewe ni kapuku au sio mtu maarufu . Kama sio mfanyabiashara maarufu au mwanasiasa huwezi kumwona Mwamposa ofisni kwake eti mmekaa wawili ndani akuombee , sahau.
Kitakachokupa kibali kuonana ofisni kwao watumishi maarufu wote ni aidha uwe mwanasiasa maarufu, uwe mfanyabiashara maarufu au utoe pesa za kiingilio.
Mwanasiasa ataruhusiwa kwakuwa ameshikia makali, mfanyabiashara ataingia bure lakini atatoa pesa nyingi. Maskini huwezi kuingizwa ofisni bure maana utaishia kutoa sadaka ya buku 5 ambayo hata lunch haitoshi. Hivyo jitafute, kama kuuza shamba uza utoe angalau laki 2 , 3 ndio utaruhusiwa kuingia.
Hoja ya kuchonganisha watu hiyo pia kaonewa.
Iwe uongo au kweli. Serikali haina kupimo cha mambo ya rohoni.
Je, katika dini kuu 3 hapa nchini zote ni za MUNGU?
Hizo dini pia zina madhehebu, je, yote ni ya MUNGU?
Maadamu serikali imeamua kutoa uhuru wa kuabudu waache watu wakaliwe wapendako.
Mwamposa Moshi alisababisha watu kufa kizembe wakati wakikanyaga wese mbona aliachwa?
Je, kiboko ya wachawi amefanya kosa kubwa zaidi kosa lile la Mwamposa Moshi?
Serikali ichague moja. Kufunga shughuli zote za dini au kuruhusu watu waabudu wapendavyo ilimradi tu wasivunje Sheria za nchi.

DRC Congo ni nchi ya pili kwa ukubwa Africa,Ina watu zaidi ya milion 100.
Huyo kiboko ya wachawi ana nafasi kubwa zaidi ya kuwanga,kuroga, kupunga wachawi huko huko kwao.

Kama watu waliweza funga safari kwenda kwa TB joshua, kwanini na wewe usifunge safari kwenda huko DRC kongo ukarogwe?

Mtu hujui wapi anatokea, hujui historia ya huduma yake. halafu unamuita nabii!!! lazima uwe mwehu tu. Nasema tena lazima uwe mwehu!
 
Hoja 3 zilizowekwa kwenye barua ya kufungwa kwa Huduma ya Kiboko ya Wachawi ni hoja mfu.
Binafsi nachukia na kupata hasira ninapoona mtu anafanya kazi ya Kristo kwa kuwalipisha watu Senti, kuwauzia watu vifaa vya kiroho au kusisitiza sadaka za kufunguliwa, sadaka za kubarikiwa, sadaka za kujenga madhabahu n.k.
Manabii, mitume, wachungaji na walimu maaruru karibu wote hapa Tanzania wanachukua kiingilio cha kuwaona.
Leo hii huwezi kumwona Mwakasege Ofisni kwake kama wewe ni kapuku au sio mtu maarufu . Kama sio mfanyabiashara maarufu au mwanasiasa huwezi kumwona Mwamposa ofisni kwake eti mmekaa wawili ndani akuombee , sahau.
Kitakachokupa kibali kuonana ofisni kwao watumishi maarufu wote ni aidha uwe mwanasiasa maarufu, uwe mfanyabiashara maarufu au utoe pesa za kiingilio.
Mwanasiasa ataruhusiwa kwakuwa ameshikia makali, mfanyabiashara ataingia bure lakini atatoa pesa nyingi. Maskini huwezi kuingizwa ofisni bure maana utaishia kutoa sadaka ya buku 5 ambayo hata lunch haitoshi. Hivyo jitafute, kama kuuza shamba uza utoe angalau laki 2 , 3 ndio utaruhusiwa kuingia.
Hoja ya kuchonganisha watu hiyo pia kaonewa.
Iwe uongo au kweli. Serikali haina kupimo cha mambo ya rohoni.
Je, katika dini kuu 3 hapa nchini zote ni za MUNGU?
Hizo dini pia zina madhehebu, je, yote ni ya MUNGU?
Maadamu serikali imeamua kutoa uhuru wa kuabudu waache watu wakaliwe wapendako.
Mwamposa Moshi alisababisha watu kufa kizembe wakati wakikanyaga wese mbona aliachwa?
Je, kiboko ya wachawi amefanya kosa kubwa zaidi kosa lile la Mwamposa Moshi?
Serikali ichague moja. Kufunga shughuli zote za dini au kuruhusu watu waabudu wapendavyo ilimradi tu wasivunje Sheria za nchi.
Mbona sijaona ulivyomtetea zaidi ya kumlinganisha na hao wengine?Kwani ulitaka kutueleza nini muheshimiwa?
 
Anakwambia muumini akiacha chupi nje ataingalia kwanza ndo mengine yaendelee watu wasiachane nn michepuko maana atapata wapi sadaka... Mhhh
 
Back
Top Bottom