Serikali imeonesha ubaguzi wa wazi kwa vijana waliosoma mpaka elimu ya Juu

Serikali imeonesha ubaguzi wa wazi kwa vijana waliosoma mpaka elimu ya Juu

Joined
Oct 14, 2018
Posts
21
Reaction score
28
Mimi natangaza kuwa MTU wa kwanza kuwa siiamini Serikali kama inawaona vijana na generation ijayo ..

Sijui serikali hii inatamani kuona Society ya aina gani in 5 to 10 years later.

Naamini vijana ni kundi linaloteseka sana kuliko kundi lolote lile na kipindi hiki cha awamu ya tano vijana wamekuwa wahanga na watumwa wa nchi yao kuliko kipindi chochote kwenye historia ya Tanzania.

Mimi na declare , ni mwanachama na kada mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi ..

Ninapata huruma sana kwa vijana ,
Kwa watu wanaokaa mitaani wanaujua ukweli , na Mhe Rais yuko ikulu na vyombo vimeamua kumdanganya kuhusu vijana , vijana watateseka mpaka waamue wao kujiondoa utumwani . Hakuna mtetezi wao kabisa

Kijana amehitimu 2015 Chuo kikuu ,mpaka sasa hajapata ajira , ukiwaza alivyosoma sasa .

1. Mashamba yameuzwa , na mifugo yote wazazi wakiona nuru ndani ya kijana wao miaka ijayo ,Leo hiyo kijana anahangaika bila kufanikiwa chochote

2. Kwa nature ya familia za Africa , unakuta rasilimali zote za familia zilitumika kumsomesha kijana aliyeoneka kuwa na uwezo kiakili , Leo hawezi kununua hata sukari kwa ajili ya mama yake.

Nashauri vijana tuunde forum , tuone njia mbadala ya kujikomboa , raslimali za taifa hili tutazisikia kwa wateule pekee.

Kwa hakika , tusiilufiche ukweli , ushauri mzuri kwa Rais kuhusu vijana nitautoa baadaye .

Serikali imeonesha ubaguzi wa wazi kwa vijana waliosoma mpaka elimu ya Juu , bora tuambiwe kama vijana hawastahili kunufaika na rasilimali za nchi hii.
 
Mpaka imefika stage elimu inaonekana si kitu tena kwa sasa .
Kwa sisi ambao tuko mavyuoni kwa sasa hata morale yenyewe ya kusoma inapungua,.yani tupo tupo tu .

Kuna njia moja huwa naitumia sana nikiwa naelekea zangu chuoni , kila siku nawakuta majamaa ambao wamemaliza chuo 2016/2017/2018 wamekaa tuu hawana mishe .Wananiambiaga dogo komaa ivo ivo ila mtaa unakusubiri .Imefika stage nimeacha kupita ile njia mana yale maneno yao yananifanya nijisikie vibaya kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka imefika stage elimu inaonekana si kitu tena kwa sasa .
Kwa sisi ambao tuko mavyuoni kwa sasa hata morale yenyewe ya kusoma inapungua,.yani tupo tupo tu .

Kuna njia moja huwa naitumia sana nikiwa naelekea zangu chuoni , kila siku nawakuta majamaa ambao wamemaliza chuo 2016/2017/2018 wamekaa tuu hawana mishe .Wananiambiaga dogo komaa ivo ivo ila mtaa unakusubiri .Imefika stage nimeacha kupita ile njia mana yale maneno yao yananifanya nijisikie vibaya kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu , hao wanaokwambia hivyo kwa ufupi wanakupenda sana sema hawamalizii ujumbe wao kwamba wakati unasoma degree yako jitahidi sana kujibana kwa matajiri wa mjini hapo kama ni mji ili ukimaliza wakufadhili kula na pa kulala vinginevyo ukihitimu tu hapohapo unarudi kulala chumba ulicholala ukiwa standard five na kufanya shughuli ile uliyoiona huwezi kufanya ukakaza msuli na kufaulu ,

Acha tu , na ukienda sehemu mbalimbali wahitimu wa vyuo vikuu sana hali mbaya sana

Nadhani serikali imefanya makusudi ni visa kwa kuwa 2015 uchaguzi kwa vijana walionekana kupindua nchi vile hivyo vijana kama kundi moja kwa ujumula ni waha
 
Mimi natangaza kuwa MTU wa kwanza kuwa siiamini Serikali kama inawaona vijana na generation ijayo ..

Sijui serikali hii inatamani kuona Society ya aina gani in 5 to 10 years later.

Naamini vijana ni kundi linaloteseka sana kuliko kundi lolote lile na kipindi hiki cha awamu ya tano vijana wamekuwa wahanga na watumwa wa nchi yao kuliko kipindi chochote kwenye historia ya Tanzania.

Mimi na declare , ni mwanachama na kada mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi ..

Ninapata huruma sana kwa vijana ,
Kwa watu wanaokaa mitaani wanaujua ukweli , na Mhe Rais yuko ikulu na vyombo vimeamua kumdanganya kuhusu vijana , vijana watateseka mpaka waamue wao kujiondoa utumwani . Hakuna mtetezi wao kabisa

Kijana amehitimu 2015 Chuo kikuu ,mpaka sasa hajapata ajira , ukiwaza alivyosoma sasa .

1. Mashamba yameuzwa , na mifugo yote wazazi wakiona nuru ndani ya kijana wao miaka ijayo ,Leo hiyo kijana anahangaika bila kufanikiwa chochote

2. Kwa nature ya familia za Africa , unakuta rasilimali zote za familia zilitumika kumsomesha kijana aliyeoneka kuwa na uwezo kiakili , Leo hawezi kununua hata sukari kwa ajili ya mama yake.

Nashauri vijana tuunde forum , tuone njia mbadala ya kujikomboa , raslimali za taifa hili tutazisikia kwa wateule pekee.

Kwa hakika , tusiilufiche ukweli , ushauri mzuri kwa Rais kuhusu vijana nitautoa baadaye .

Serikali imeonesha ubaguzi wa wazi kwa vijana waliosoma mpaka elimu ya Juu , bora tuambiwe kama vijana hawastahili kunufaika na rasilimali za nchi hii.
Kidumu chama cha mapinduzi, ccm oyreeee!
 
Back
Top Bottom