Serikali imesema reli ya kisasa ya SGR kutoka Dares salaam kwenda Morogoro (KM 300) itaanza kutoa huduma mwezi wa saba 2023

Serikali imesema reli ya kisasa ya SGR kutoka Dares salaam kwenda Morogoro (KM 300) itaanza kutoa huduma mwezi wa saba 2023

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Serikali imesema reli ya kisasa ya SGR kutoka Dares salaam kwenda Morogoro (KM 300) itaanza kutoa huduma mwezi wa saba mwaka huu.

Akijibu swali Bungeni Jijini Dodoma leo, Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete amesema mwezi wa sita wanategemea kupokea mabehewa yenye ghorofa na mwezi wa saba watapokea kichwa na miundombinu yote ipo tayari kwa ajili ya kuanza.

Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa

FC7B5FD2-B712-44E4-9366-BD748CFCD5A8.jpeg
 
Tunadanganywa kwa mara nyingine tena. Si mlisema inaanza kazi mwezi May?
 
Wanajua watz hatuna kumbukumbu na pia uwezo wa kuhoji nao fyongo wanatuburuza tuu
 
VIVUKO VYA MAGARI NA WATEMBEA KWA MIGUU VYA MAJUMBA SITA BANANA, AIRPORT KARAKATA NA VINGUNGUTI BADO KUKAMILIKA
 
Back
Top Bottom