Serikali imesitisha nyongeza ya mishahara ya kila mwaka (annual incriment) na tucta ipo kimya tuu

Serikali imesitisha nyongeza ya mishahara ya kila mwaka (annual incriment) na tucta ipo kimya tuu

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Mwaka jana mama alitangaza kurudisha ile nyongeza ya kawaida ya kila mwaka baada ya kusitishwa na Raisi Magufuli,

Pamoja na kupandisha vyeo wafanyakazi ambapo walikuwa wamesitishiwa ..
Tumeona wafanyakazi wakipanda vyeo kwa mujibu wa sheria japo kuna miaka iliyodhulumiwa vyeo
Yaani mwaka 2015-2020

Ambapo nafikiri serikali inalifanyia kazi hili kuhakikisha HAKI ya mtu haipotei....

Lakini vipi kuhusu ile nyongeza ya Kila mwaka mwezi wa Saba ambayo ipo kisheria??

Mwezi wa 7 hola,
Wa 8 hola..
Kunani
 
Tunaomba hiyo sheria inayosema kila mwaka lazima kuwe na nyongeza.
 
Ni Bora liende wakiamua wanakupa wakiamua hawakupi basi
 
Matumizi yenye tija yamekuwa mengi vumilieni tu.

Kuna kulipia magoli ya Yanga na Simba, kuna kulipia tamasha binafsi la Bi. Mkubwa la Kizimkazi. Kaeni kwa kutulia doggy nyie
 
TUCTA imefanywa Jumuiya za Chama kama ilivyokuwa TLS kabla ya Mwabukusi.
 
Back
Top Bottom