Serikali imesitisha uzalishaji wa pombe ya Banana kwa kutokidhi viwango vya ubora

Nliwahi kunywa tatu..nlilala siku nzima
 
Msisahau double kick.

Hii nimeona kwa macho yangu mtu anabadilika kaenda kufia muhimbili.

Siwaharibii biashara.ila wafanye wapunguze alcohol.

mnywa double kick muda wote sura kaikunja
Rombo pana pombe za kila aina alafu bei kuanzia 300 tu vijana wamekuwa wazee gafla
 
Banana sio wine ni chemical solution
 
SODA au Banana wine, kipi ni chemical solution Hapo? SODA ni 100% chemicals
Ila Banana wine, lazima ndizi halisi itumike.
Mungu akusaidie kama unaamini kuna ndizi zinawekwaga kwenye equation ya kutengeneza banana wine
 
Mungu akusaidie kama unaamini kuna ndizi zinawekwaga kwenye equation ya kutengeneza banana wine
Mkuu, haya mambo yapo kisayansi zaidi.Ndizi lazima ziwepo mkuu. labda kama unazungumzia Banana flavoured wine/Alcoholic beverage hapo sawa.
 
Ahh kuna jamaa alifungua uzi kuwa sema wana rombo na fikiri na vijana wa kilimanjaro kua hawafanyi kazi ni ulevi nafikiri kajibiwa.

Sema zile baba zile bia ni nyokoo chupa ndogo ila ukikuta vijana wamevinywa ni kama wametiwa ganzi. Vichwa vinawawaka hatari mixer usingizi
 
TBS bhana ,,
 
Serikali ina mambo, kama ni maendeleo Rombo watu wameendelea kuliko sehemu nyingi sana hapa nchini, hata wazee wapo wengi sana kuliko sehemu nyingi sana hapa nchini,, acha vijana wanywe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…