Wanadhamin SIASA, BIASHARA na BURUDAN ndo kuna upungufu huko nadhan ahahaa.. ukstaajabu ya flaun utayaona ya serikali Tz
Wanadhamin SIASA, BIASHARA na BURUDAN ndo kuna upungufu huko nadhan ahahaa.. ukstaajabu ya flaun utayaona ya serikali Tz
i'm talkn abt serikal thru heslb kuwatosa wanaoenda kuchukua fani za u-daktar, u-engineer na u-alimu. 'ts strange mno..
Wanadhamin SIASA, BIASHARA na BURUDAN ndo kuna upungufu huko nadhan ahahaa.. ukstaajabu ya flaun utayaona ya serikali Tz
Hazikutoshi
Hazikutoshi
Serikali ya nne,,,inatoa kipaumbele kwa watu wanaosoma non priority courses,,,,,,,maana wengi waliojaza non priority courses wamepata mkopo,,,,mwakani mimi nitajaza non priority courses[political science],,,,nadhani nitapata,,maana rafiki yangu kajaza hiyo mwaka huu wamempa 90%,,,,,,mimi nimepata,,,,education[udsm],,,,,non secure for loan,,,,,
Wapi wametoswa baba?? Tupe evidence bwana maake wengi wapo vyuoni sasa wanafanya registration