Tunawapeleka wapi ?.
Mnataka Bongo iwe kama Denmark ulipo, au sio? Ila usisahau hapo Posta tu, hakuna hata chombo kimoja cha kutupia taka . Vipi Denmark huko?Serikali huwa haiibi mkuu....
Serikali hiyohiyo ndiyo inayotoa vyeti vya kuzaliwa ,kitambulisho cha NIDA bila ya kutoa fedha nyingi.....
Hivi unajua kuwa ARDHI NI MALI YA SERIKALI?!!
Hata hapa nilipo ninaweza kuhamishwa siku wakigundua kuna Jambo kubwa la kufanyia jamii.....
Kwa hiyo hiyo mitaa inayofanyiwa biashara iko juu ya hiyohiyo ARDHI.....
Lengo la serikali sikivu ni zuri tu....na maeneo wametengewa ila ni hulka zetu tu kuwa MAZOEA YANA TABU ZAKE.....
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu Ya 6
Huyo kansa ya siasa imepanda kwenye ubongo tayari.Una usingizi wewe, kwanini unatetea hata ujinga? Kwanini kila kitu unakiweka siasa?? No, hii sio sahihi
Kabla hawajafunga mabarabara, njia za wapita kwa miguu na mitaro ya maji walikuwa ? Warudi huko walipokuwepo kabla hawajaruhusiwa kuvamia maeneo yasiyo maalum na Mpenda sifaTunawapeleka wapi ?.
Wewe unaona sahihi walivyokua wanahatarisha maisha yao Kwa kufanya biashara chini ya transforma, pembeni ya barabara na mbele ya maduka ya watu?? Unafahamu masharti ya kupata kitambulisho Cha machinga ambacho siku hizi unajisali online?? Fatilia na utagundua hakuna machinga alieibiwa na serkaliUna usingizi wewe, kwanini unatetea hata ujinga? Kwanini kila kitu unakiweka siasa?? No, hii sio sahihi
Walitoka wapi??Tunawapeleka wapi ?.
Kwa katiba imewapa hayo mamlaka.Kwahiyo ardhi walikabidhiwa na Mungu !.
Achans dhana kula wapi.....wakipangwa vizuri poa tunaenda kula...ule ni uchafu mjini....zamani tulikuwa tunakula mama ntilie town sehemu zilizoandaliwa kwa mama ntilie mimi nimekula sana mama ntilie wa ferry suala sio kwenda setena au kipato mpangilio mzuri....Ndio maisha ya wananchi wako hayo.wangekuwa na hela wangeenda kula Hyatt regency hotel.
angalia vipato vya wananchi wako unadhani wanapenda kuwa mama ntilie au machinga?
lini serikali imetangaza machinga wote wenye elimu waende kuajiriwa?.
Niko kwa Mtogole mkuu....huko Denmark uliko wewe sijawahi hata kufika!Mnataka Bongo iwe kama Denmark ulipo, au sio? Ila usisahau hapo Posta tu, hakuna hata chombo kimoja cha kutupia taka . Vipi Denmark huko?
Uteuzi uliishaga.Serikali huwa haiibi mkuu....
Serikali hiyohiyo ndiyo inayotoa vyeti vya kuzaliwa ,kitambulisho cha NIDA bila ya kutoa fedha nyingi.....
Hivi unajua kuwa ARDHI NI MALI YA SERIKALI?!!
Hata hapa nilipo ninaweza kuhamishwa siku wakigundua kuna Jambo kubwa la kufanyia jamii.....
Kwa hiyo hiyo mitaa inayofanyiwa biashara iko juu ya hiyohiyo ARDHI.....
Lengo la serikali sikivu ni zuri tu....na maeneo wametengewa ila ni hulka zetu tu kuwa MAZOEA YANA TABU ZAKE.....
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu Ya 6
Ukiona mama ntilie NI wengi jua watu wasiokuwa na kazi WAMEONGEZEKA.Achans dhana kula wapi.....wakipangwa vizuri poa tunaenda kula...ule ni uchafu mjini....zamani tulikuwa tunakula mama ntilie town sehemu zilizoandaliwa kwa mama ntilie mimi nimekula sana mama ntilie wa ferry suala sio kwenda setena au kipato mpangilio mzuri....
Hata elimu ya kuteuliwa sina....endelea kurusha maneno tu 🤣🤣Uteuzi uliishaga.
Kwani wao walitoka wapi? Wapange maduka nao waitwe wafanyabiashara sio kuendekeza mauchafu kwenye jiji la kibiashara ebooTunawapeleka wapi ?.
Akili yako iko matakoni? Hujasikia wanakopelekwa kenge wewe? Maswali ya kipumbavu.Tunawapeleka wapi ?.
Kazi gani ?!!Ukiona mama ntilie NI wengi jua watu wasiokuwa na kazi WAMEONGEZEKA.
Zamani uliona wapo kwenye mpangilio sababu hawakuwa wengi
Hili jamaa pointi zake nyingi ni pumba halafu limeweka picha ya mtu mwenye heshimaUna usingizi wewe, kwanini unatetea hata ujinga? Kwanini kila kitu unakiweka siasa?? No, hii sio sahihi
... eti mtu na akili zake anauliza waende wapi! Uholela huo ukiachwa maana yake yeyote popote alipo ana haki ya kujifanyia biashara popote mijini bila kuzingata sheria zilizopo. Kila mwaka maelfu kwa maelfu ya vijana wanahamia mijini na kama kimbilio la walio wengi ni kufanyia biashara mabarabarani hali itakuwaje huko tuendako?Kabla hawajafunga mabarabara, njia za wapita kwa miguu na mitaro ya maji walikuwa ? Warudi huko walipokuwepo kabla hawajaruhusiwa kuvamia maeneo yasiyo maalum na Mpenda sifa
Hili la 20k lilikuwa ni kituko cha mwaka, and vitambulisho vyenyewe vilikuwa havina picha, walichokuwa wanafanya ni kuazimana tu vitambulisho pale vilipokuwa vinahitajika!! And kuna watu Bwana yule aliwatumbua kisa hawakumaliza kuuza vitambulisho vyote... eti mtu na akili zake anauliza waende wapi! Uholela huo ukiachwa maana yake yeyote popote alipo ana haki ya kujifanyia biashara popote mijini bila kuzingata sheria zilizopo. Kila mwaka maelfu kwa maelfu ya vijana wanahamia mijini na kama kimbilio la walio wengi ni kufanyia biashara mabarabarani hali itakuwaje huko tuendako?
La muhimu sheria zisimamiwe kikamilifu vinginevyo linatengenezwa tatizo la kudumu kwa kisingizio cha wanyonge! Ni aibu kwamba ilifika mahali wakajihalalishia maeneo hayo kinyume cha sheria na taratibu za mipango miji kwa kisingizio cha kulipia 20,000! Aliyebuni hili ni sehemu ya tatizo na mvunja sheria namba moja kwa suala hili la umachinga.
Wanaokula ni machinga,wabeba zege,makonda n.k.Kazi gani ?!!
Kazi zipi?!!
Sasa huko kwa mama Ntilie baada ya kula wanalipa nini na kazi hawana?!!!