USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kuna mwana JamiiForums amesikia habari ya serikali kuzuia mchele kuuzwa nje au wote tumesikia kuruhusu uletwe kutoka nje tu.
Serikali haujazuia mchele kuuzwa nje mpaka sasa hivi inamaa kubwa kuwa hawa walioleta mchele kutoka nje wanaweza pia wakauza huko nje baada ya kuuleta hapa Tanzania ikawa njia tu.
Kuna bidhaa nyingi ambazo serkali imeruhusu ziletwe ila zikifika huuzwa tena nchi za jirani. Watu wa Mbeya wanunua mafuta Zambia, kule kagera nguo hunuliwa Rwanda au Uganda.
USSR
Serikali haujazuia mchele kuuzwa nje mpaka sasa hivi inamaa kubwa kuwa hawa walioleta mchele kutoka nje wanaweza pia wakauza huko nje baada ya kuuleta hapa Tanzania ikawa njia tu.
Kuna bidhaa nyingi ambazo serkali imeruhusu ziletwe ila zikifika huuzwa tena nchi za jirani. Watu wa Mbeya wanunua mafuta Zambia, kule kagera nguo hunuliwa Rwanda au Uganda.
USSR