Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Yupo mwandishi uchwara wa habari za michezo raia wa Ghana aitwaye Micky Jnr ambaye kwa ujinga wake ameamua kuwa upande wa wasio itakia mema timu yetu ya Taifa na kueneza habari za kuhanikiza iondolewe kwenye mashindano ya mpira wa miguu ya AFCON yajayo huko Morocco.
Kama Taifa ni lazima tuungane na tukatae kubagazwa kwa aina yeyote na mtu wa aina yake hasa kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya Nchi yetu.
Soma Pia:
Serikali impige marufuku kukanyaga Tanzania!
Kama Taifa ni lazima tuungane na tukatae kubagazwa kwa aina yeyote na mtu wa aina yake hasa kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya Nchi yetu.
Soma Pia:
- Tanzania hatarini kuondolewa AFCON 2025 baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF)
- TFF yakanusha kuhusu Tanzania kuwa hatarini kuondolewa AFCON 2025 baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF)
Serikali impige marufuku kukanyaga Tanzania!