Mtajuana wenyewe. Kwanza bunge lote 100% ni CCM. Wapinzani waliwachelewesha sana.Kuna habari inazunguka mtandaoni ikiwa ni pamoja na humphrey pole pole mwenyewe kuichapisha kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba amevamiwa nyumbani kwake dodoma na watu wasiojulikana...
Nasikia Nyumbani kwake amejaza KY na Toilt Papers nyingi sana😅😅😅Polepole hana shida na Samia na hajawah kumsema vibaya Samia! Ila Polepole kama Massoud tu anashida na hizi pakaView attachment 2041983
Kama huyu mhuni amejaza Ky ndani na matoilet paper. Sasa ananyanganywa mali na wanaomdai anasingizia watu wasiojulikana ambao hawapo waliondoka na mhuni mkuu MagufuliMbowe alianguka kwa ulevi lakini akatangaza amepigwa na wasiojulikana
Haina tofautiHii ni sawa na yule kijana wa Kigoma aliejiteka mwenyew, afu baadae ikalalamikwa kuwa katekwa.
Kati ya watu wasio na Nia nzuri Ni wewe,umefanya uchunguzi gani ukaona hayo unayoyasema ndio kweli?Kuna habari inazunguka mtandaoni ikiwa ni pamoja na humphrey pole pole mwenyewe kuichapisha kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba amevamiwa nyumbani kwake dodoma na watu wasiojulikana.
Kwangu naliona hili tukio kuwa ni tukio la kutengeneza kwa sababu kuu mbili;
1. Pole pole anatafuta huruma kwa watu
Nadhani wote tunafahamu mwenendo na msimamo wa huyu kijana kuhusu serikali ya awamu ya sita. Labda kwa msiofahamu ni kwamba pole pole amegoma kabisa kuitambua serikali ya awamu ya sita na amegoma kabisa kumheshimu Rais aliyepo madarakani hivyo tukio la leo ni la kutengeneza ili kutafuta huruma na uungwaji mkono kwa watu ionekane kwamba serikali ya awamu ya sita inamfanyia mambo yasiyofaa.
2. Pole pole analenga kuichafua serikali kwa wananchi
Kuna uwezekano mkubwa kwamba tukio la leo ni la kutengeneza ili kuichafua serikali kwa wananchi. Itakumbukwa kuwa, siku za hivi karibuni pole pole amewahi kunukuliwa akiwatuhumu viongozi kuwa ni 'wahuni'. Hivyo katika kuhakikisha anaipa mashiko hoja yake ya 'uhuni' anaosema ameamua kutengeneza tukio la leo ili kutuma ujumbe kwa wananchi kwamba 'uhuni' aliosema upo na hivyo wananchi waamini maneno yake na kukosa imani na serikali yao.
Na kama kweli tukio hili limetokea basi tunaomba pole pole atuonyeshe footage za cctv camera za tukio zima na kama hiyo nyumba haijafungwa CCTV camera atwambie wakati tukio linatendeka nani alikuwepo nyumbani na aliambiwa kitu gani na wahusika wa tukio hili? Alipigwa? Pole pole atuambie.
Kwakuwa pole pole mwenyewe amekusudia kuripoti jambo hili kwenye vyombo vya dola ni jambo jema kwani ndio utakuwa mwanzo mzuri wa jeshi la polisi kufanya uchunguzi na endapo itabainika kuwa ni tukio la kutengeneza, tunaomba kijana huyu ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria ili liwe fundisho kwa wale wote wenye nia ovu ya kuchafua serikali ya awamu ya sita kwa maslahi yao binafsi.
Muwe na siku njema.
Siyo alifurahia tu, bali alishiriki kikamilifu.Polepole hatakiwi kuonewa huruma ikiwezekana angetekwa na kupotezwa tu maana awamu ya 5 ilivyokuwa inapoteza watu yeye alifurahia.
Hujielewi.Kuna habari inazunguka mtandaoni ikiwa ni pamoja na humphrey pole pole mwenyewe kuichapisha kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba amevamiwa nyumbani kwake dodoma na watu wasiojulikana.
Kwangu naliona hili tukio kuwa ni tukio la kutengeneza kwa sababu kuu mbili;
1. Pole pole anatafuta huruma kwa watu
Nadhani wote tunafahamu mwenendo na msimamo wa huyu kijana kuhusu serikali ya awamu ya sita. Labda kwa msiofahamu ni kwamba pole pole amegoma kabisa kuitambua serikali ya awamu ya sita na amegoma kabisa kumheshimu Rais aliyepo madarakani hivyo tukio la leo ni la kutengeneza ili kutafuta huruma na uungwaji mkono kwa watu ionekane kwamba serikali ya awamu ya sita inamfanyia mambo yasiyofaa.
2. Pole pole analenga kuichafua serikali kwa wananchi
Kuna uwezekano mkubwa kwamba tukio la leo ni la kutengeneza ili kuichafua serikali kwa wananchi. Itakumbukwa kuwa, siku za hivi karibuni pole pole amewahi kunukuliwa akiwatuhumu viongozi kuwa ni 'wahuni'. Hivyo katika kuhakikisha anaipa mashiko hoja yake ya 'uhuni' anaosema ameamua kutengeneza tukio la leo ili kutuma ujumbe kwa wananchi kwamba 'uhuni' aliosema upo na hivyo wananchi waamini maneno yake na kukosa imani na serikali yao.
Na kama kweli tukio hili limetokea basi tunaomba pole pole atuonyeshe footage za cctv camera za tukio zima na kama hiyo nyumba haijafungwa CCTV camera atwambie wakati tukio linatendeka nani alikuwepo nyumbani na aliambiwa kitu gani na wahusika wa tukio hili? Alipigwa? Pole pole atuambie.
Kwakuwa pole pole mwenyewe amekusudia kuripoti jambo hili kwenye vyombo vya dola ni jambo jema kwani ndio utakuwa mwanzo mzuri wa jeshi la polisi kufanya uchunguzi na endapo itabainika kuwa ni tukio la kutengeneza, tunaomba kijana huyu ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria ili liwe fundisho kwa wale wote wenye nia ovu ya kuchafua serikali ya awamu ya sita kwa maslahi yao binafsi.
Muwe na siku njema.